Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mahitaji-ya-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mahitaji-ya-Mungu. Onyesha machapisho yote

6/25/2018

"Mji Utaangushwa" (2) - Mbona Dhiki Imewafika Mafarisayo Wanafiki?



Imeandikwa katika Biblia kwamba Bwana Yesu aliwalaani Mafarisayo kwa dhiki saba. Siku hizi, njia inayotembelewa na wachungaji na wazee wa ulimwengu wa dini ni ile ya Mafarisayo na hali kadhalika wanapitia chuki ya Mungu na kukataliwa. Hivyo kwa nini Bwana Yesu aliwahukumu na kuwalaani Mafarisayo? Kimsingi ilikuwa kwa sababu walikuwa na kiini chenye unafiki ambacho kilimwasi Mungu, kwa sababu walitilia maanani kufanya matambiko ya dini na kufuata sheria tu, walieleza kanuni na mafundisho katika Biblia tu na hawakuweka maneno ya Mungu kwenye vitendo wala kufuata amri za Mungu kwa vyovyote, na hata waliacha amri za Mungu.