Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Upendo-wa-Bwana. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Upendo-wa-Bwana. Onyesha machapisho yote

2/15/2018

Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe III

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,Mwenyezi Mungu,
3. Mfano wa Kondoo Aliyepotea
(Mat 18:12-14) Mnaonaje? Mtu akiwa na kondoo mia moja, na mmoja wao apotee, je, hawaachi wale tisini na tisa, aende milimani, na kumtafuta yule aliyepotea? Na iwapo atapata kumwona, amini nawaambieni, anamfurahia huyo kondoo mmoja zaidi, kuliko wale tisini na tisa ambao hawakupotea. Vivyo hivyo sio mapenzi ya Baba yenu aliye mbinguni, kwamba mmoja wa wadogo hawa aangamie.