Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Nyimbo-Za-Kanisa. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Nyimbo-Za-Kanisa. Onyesha machapisho yote

10/21/2019

Wimbo wa Kuabudu | "Sifa kwa Maisha Mapya katika Ufalme" | Watu wa Mungu Humsifu na Kumwabudu Mungu


Wimbo wa Kuabudu | "Sifa kwa Maisha Mapya katika Ufalme" | Watu wa Mungu Humsifu na Kumwabudu Mungu


Tumesikia sauti ya Mungu na kurudi nyumbani Kwake.

Mikutanoni tunakula na kunywa maneno ya Mungu, tunahudhuria karamu.

Sisi tunaaga huzuni na vifungo vyetu, tunaishi maisha mapya.

Maneno ya Mungu yako nasi kila siku, tunastarehe ndani yake.

Tunapofungua mioyo yetu katika ushirika wa kweli, mioyo yetu inaangazwa sana.

Tunatafakari, kufikiri maneno ya Mungu, Roho Mtakatifu anatuangazia.

Tunaondolewa vizuizi na ubaguzi wetu, tunaishi ndani ya upendo wa Mungu.

Tunaelewa ukweli na kuwekwa huru, mioyo yetu ni tamu kama asali.

Tunapendana, hakuna umbali kati yetu.

Tunaelewa moyo wa Mungu, sisi si hasi tena.

Tukiishi ndani ya maneno ya Mungu, tunaona uzuri Wake.


10/11/2019

Wimbo wa Dini “Watu Waaminifu Tu Ndio Wana Mfano wa Binadamu” | Asante kwa Upendo na Wokovu wa Mungu


Wimbo wa Dini “Watu Waaminifu Tu Ndio Wana Mfano wa Binadamu” | Asante kwa Upendo na Wokovu wa Mungu


Kwa ajili ya umaarufu na faida niliacha viwango vyote vya kutenda,

       na bila haya nikatumia udanganyifu kutafuta riziki yangu.

Sikujali chochote kuhusu dhamiri au maadili, chochote kuhusu uadilifu au heshima.

Niliishi tu kuridhisha tamaa na uroho wangu vilivyozidi kukua.

Kwa moyo usio na amani, nilitembea katika matope ya dhambi,

bila njia yoyote ya kuepuka giza hii isiyo na mipaka.

Utajiri wa maisha na raha za muda mfupi

hazingeweza kuficha utupu na maumivu ndani ya moyo wangu.

Mbona ni vigumu sana kuwa na uadilifu maishani?

Mbona wanadamu ni wenye hila sana, wabaya sana?

Hii ni dunia ya aina gani? Nani anayeweza kuniokoa?

Hii ni dunia ya aina gani? Nani anayeweza kuniokoa?

9/01/2019

Best Christian Worship Songs Swahili | Mungu ndiye Mwanzo na tena Mwisho



Mungu ndiye Mwanzo na tena Mwisho


Mungu ndiye Mwanzo, Mungu ndiye Mwanzo, Mungu ndiye Mwanzo, na tena Mwisho, na tena Mwisho, na tena Mwisho. Mungu ndiye Mpanzi, Mungu ndiye Mpanzi, Mungu ndiye Mpanzi, na Mvunaji (Mvunaji). Mungu ndiye Mwanzo na Mwisho; Mungu ndiye Mpanzi na Mvunaji. Mungu ndiye Mwanzo na Mwisho; Mungu ndiye Mpanzi na Mvunaji. Mungu ndiye Mwanzo na Mwisho; Mungu ndiye Mpanzi na Mvunaji. Mungu Anakuwa mwili hasa kwa ajili ya kuikaribisha enzi mpya, na, kwa hakika, Anapoikaribisha enzi mpya, Atakuwa Ameikamilisha enzi ya kale wakati uo huo. 

12/18/2018

Upendo na Kiini cha Mungu ni Vikarimu

Mungu anatoa kilicho bora zaidi, Anatoa upande Wake ulio mzuri.
Vitu vizuri, vitu vizuri zaidi, Anatoa.
I
Bila kufichua ama kuonyesha kuteseka Kwake.
Mungu, Anavumilia, Akingoja kwa kimya.
Sio baridi ama Aliyeganda, sio dalili ya unyonge.
Kiini cha Mungu na upendo Wake ni mkarimu kila wakati.

11/22/2018

Baraka Kuu Zaidi Ambayo Mungu Anaweka Juu Ya Mwanadamu

I
Kwa sababu ya kutimika kwa maneno ya Mungu, ufalme unapata umbo.
Kwa sababu ya mwanadamu kurudi kuwa kawaida, ufalme wa Mungu uko hapa.
Watu wa Mungu katika ufalme, mtapata tena uzima uliokusudiwa binadamu.

10/17/2018

Nyimbo za Kanisa | Umuhumi wa Maombi

Nyimbo za Kanisa | Umuhumi wa Maombi

I
Maombi ni njia moja ya mwanadamu kishirikiana na Mungu,
kuita Roho Wake na kuguswa na Mungu.
Kadiri unavyoomba zaidi, ndivyo utakavyoguswa zaidi, kutiwa nuru na kuwa na mawazo ya nguvu zaidi.
Watu kama hao wanaweza kufanywa kamili hivi karibuni.
Kadiri unavyoomba zaidi, ndivyo utakavyoguswa zaidi, kutiwa nuru na kuwa na mawazo ya nguvu zaidi.

10/15/2018

Kuwa Mtu Mpya na Uuliwaze Moyo wa Mungu

I
Umeona ndani ya moyo wangu, kiburi kilichoje ndani yangu.
Nafikiri kuwa mimi ni mzuri sana na kila kitu ni duni kwangu.
Mkuu na mwenye majivuno, asili yangu ni ngumu kutupa.
Zaidi ya kudharau, mimi ni mdogo. Binadamu wamepotea. Oo, binadamu wamepotea.
Maneno Yako yanauyeyusha moyo wangu. Mbele Yako nimekuja.

10/13/2018

Siwezi Kusema Yote Yaliyo Moyoni Mwangu

I
Leo nimekutana na Wewe, matumaini yangu yote yametimia.
Nimefurahia utajiri wote katika kumbatio Lako la upendo na ukunjufu.
Moyo Wako hakika ni mzuri sana, upendo Wako unanivutia.
Kile Ulicho nacho na kile Ulicho, ni vya thamani sana kwangu.
Siwezi kuelezea, hakuna maneno:
Jinsi gani anavyopendeza Mwenyezi Mungu!

10/05/2018

Msifuni Mwenyezi Mungu | Umo Moyoni Mwangu

Msifuni Mwenyezi Mungu  | Umo Moyoni Mwangu
I
Ninapotenda wajibu wangu mbali na nyumbani,
nawaza kukuhusu, na ninakuomba.
Kupitia kusoma maneno Yako,
nimekuja kukuamini zaidi na moyo wangu unapozwa, oo.
Kukushuhudia Wewe, ninapitia machungu mengi,
na najua hata vizuri zaidi jinsi Unavyopendeza.

9/24/2018

Nina Furaha Sana Kupata Upendo wa Mungu

Ukweli wa Mungu ni njia ya milele ya uzima. Sijapotea tena nikiwa na ukweli.
Singeweza kujiondolea uovu ulio ndani yangu. 
Hukumu ya Mungu ilinifanya niwe mpya.
Nitajitoa mwenyewe kwa majaribu ya Mungu, ili Mungu aweze kuupata moyo wangu.
Ananitengeneza kuwa yule ambaye nafaa kuwa. Nimeokolewa sasa na neno Lake.

9/20/2018

Natamani Kuona Siku Ambayo Mungu Atapata Utukufu

Leo kwa sababu ya Mungu, pitia ugumu; kesho rithi baraka ya Mungu.
Kwa kusudi la kuona siku ambayo Mungu atapata utukufu,
Naweza kuacha ujana wangu na maisha yangu.
Ee! Upendo wa Mungu, unavutia moyo wangu.
Nahisi ugumu kumuacha Yeye. Nahisi ugumu kuwa mbali na Yeye.
Nitakunywa kikombe cha uchungu.

9/16/2018

Kumpenda Mungu ni Matamanio Yangu

Niliishi katika ulimwengu usio na tumaini, bila kujua ukweli.
Nilisoma neno la Mwenyezi na sasa najua maana ya maisha.
Ni ajabu kuu iliyoje, Kristo analeta mwanga ulimwenguni.
Kutoka kwa hukumu Yake nimepata njia ya uzima wa milele.
Nalithamini neno la Mungu, nauthamini ukweli wa Mungu.
Ukweli ni wa thamani iliyoje! Kuoshwa katika kisima cha Mungu cha uzima.

9/11/2018

Ee Mungu, Unajua Nakukosa Wewe

Moyo wangu unakupenda sana. Lakini nahisi kuwa sifai upendo Wako.
Mnyonge sana sifai kuwa katika uwepo Wako, nina hofu sana na wasiwasi!
Naweza tu kuamua; kutoa nafsi yangu yote Kwako.
Nitateseka kwa ajili Yako, nipipitie mateso yote, hadi pumzi ya mwisho ya maisha yangu.
Mungu! Unajua kuwa nasubiri, nasubiri Wewe urejee.

9/01/2018

Swahili Gospel Praise Music "Kila Kitu Kinaishi Chini ya Sheria na Masharti Yaliyowekwa na Mungu"


Miaka elfu kadhaa imepita,
na mwanadamu angali anafurahia nuru na hewa aliyopewa na Mungu,
angali anapumua pumzi iliyotolewa na Mungu Mwenyewe,
angali anafurahia maua, ndege, samaki na wadudu walioumbwa na Mungu,
na kufurahia viumbe vyote vilivyotolewa na Mungu;
mchana na usiku zingali zinabadilishana nafasi zao bila kusita;
hiyo misimu minne inabadilishana kama kawaida;

8/27/2018

Nyimbo za kanisa | Niko Tayari Kutekeleza Wajibu Wangu kwa Uaminifu

Nyimbo za Kanisa | Niko Tayari Kutekeleza Wajibu Wangu kwa Uaminifu

Mpendwa Mwenyezi Mungu, ni Wewe ndiye Unayenipenda,
uliniinua kutoka kwa rundo la kinyesi hadi kwa mazoezi ya ufalme.
Maneno Yako yamenitakasa mimi, yakanifanya nianze kuishi maisha ya furaha.
Moyoni mwangu nahisi, kwa kweli, ni upendo Wako mkuu.
Aa … aa … aa … aa … Mpendwa Mwenyezi Mungu!

8/25/2018

Kwa Kuwa Mungu Anamwokoa Mwanadamu, Atamwokoa Kabisa

Kwa kuwa Mungu alimwokoa mwanadamu, Atamwongoza;
kwa kuwa Anamwokoa mwanadamu, Atamwokoa na kumpata kabisa;
kwa kuwa anamwongoza mwanadamu, Atamfikisha katika hatima sahihi.
Kwa kuwa Alimuumba mwanadamu, kwa kuwa Anamsimamia mtu,
Ni lazima awajibikie matarajio na jalaa ya mwanadamu.
Ni hii ndiyo kazi inayofanywa na Muumba.

8/20/2018

Nyimbo za Injili | Kilio kwa Dunia ya Mikasa

Nyimbo za Injili | Kilio kwa Dunia ya Mikasa

Kuelea katika wakati, kupitia maisha. Miaka inageuka kama ndoto.
Tukizunguka kwa ajili ya umaarufu na mali.
Maisha kutumika kwa vitu vya mwili. Hakuna kitu ambacho kimetolewa kwa ukweli.
Siku, miezi, na miaka inapita tu hivi.
Hakuna fikira ya mateso ya Mungu mwenyewe ama uzuri Wake mkuu.

7/23/2018

Ee Mungu, Siwezi kuwa bila Wewe

Ni Wewe unayenileta mbele Yako.
Ni maneno Yako matamu, ni upendo Wako wa upole,
Upendo Wako unaofurahisha sana, ndio unashikilia moyo wangu sana,
ambao unafanya moyo wangu kukupenda Wewe kutoka siku hii na kuendelea.
Ee … Moyo wangu unakufikiria kukuhusu Wewe kila wakati.

7/07/2018

Kuukaribisha Uso Wako Unaotabasamu Unapoonekana Mbele Yangu

Uliniinua kutoka kwa vumbi hadi ndani ya kumbatio Lako.
Uliamsha moyo wangu kutoka kwa usingizi wa usiku mrefu wa giza.
Nikitazama ndani ya ukungu wangu, naona uso Wako unaotabasamu.
Inauita moyo wangu na upendo wangu.
Sikufikiria kamwe ningeuona uso Wako.
Baraka iliyoje imenipata bila kutarajia.

12/03/2017

Nyimbo ya Msifuni Mwenyezi Mungu | Wimbo wa Uzoefu wa Maisha Furaha katika Nchi Nzuri ya Kanaani


Nyimbo ya Msifuni Mwenyezi Mungu | Wimbo wa Uzoefu wa Maisha Furaha katika Nchi Nzuri ya Kanaani

I
Nimerudi kwa familia ya Mungu,
mchangamfu na mwenye furaha.
Mikono yangu imemshika mpendwa wangu,
moyo wangu ni miliki Yake.
Japo nimepitia Bonde la Machozi,
nimeyaona mapenzi ya Mungu.
Mapenzi yangu kwa Mungu hukua siku baada ya siku,
Mungu ndiye chanzo cha furaha yangu.
Nikiduwazwa na uzuri wa Mungu,
moyo wangu umeshikizwa kwa Mungu.