Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Msifu-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Msifu-Mungu. Onyesha machapisho yote

9/25/2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Mungu Aliniokoa

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Mungu Aliniokoa

Mungu aliniokoa, Mungu aliniokoa.
Alipata mwili kama mwanadamu, Akivumilia mvua na upepo,
kati ya watu Akijificha, hakuna aliyemjua Yeye.
Mungu alihukumu ili kunikoa, akaadhibu ili kunitakasa; nilipitia uchungu mwingi sana.
Nilikuja kumpenda Mungu kutoka moyoni mwangu, nikifurahia ukarimu wa Mungu na neema.

9/11/2018

Ee Mungu, Unajua Nakukosa Wewe

Moyo wangu unakupenda sana. Lakini nahisi kuwa sifai upendo Wako.
Mnyonge sana sifai kuwa katika uwepo Wako, nina hofu sana na wasiwasi!
Naweza tu kuamua; kutoa nafsi yangu yote Kwako.
Nitateseka kwa ajili Yako, nipipitie mateso yote, hadi pumzi ya mwisho ya maisha yangu.
Mungu! Unajua kuwa nasubiri, nasubiri Wewe urejee.

9/01/2018

Swahili Gospel Praise Music "Kila Kitu Kinaishi Chini ya Sheria na Masharti Yaliyowekwa na Mungu"


Miaka elfu kadhaa imepita,
na mwanadamu angali anafurahia nuru na hewa aliyopewa na Mungu,
angali anapumua pumzi iliyotolewa na Mungu Mwenyewe,
angali anafurahia maua, ndege, samaki na wadudu walioumbwa na Mungu,
na kufurahia viumbe vyote vilivyotolewa na Mungu;
mchana na usiku zingali zinabadilishana nafasi zao bila kusita;
hiyo misimu minne inabadilishana kama kawaida;

8/20/2018

Nyimbo za Injili | Kilio kwa Dunia ya Mikasa

Nyimbo za Injili | Kilio kwa Dunia ya Mikasa

Kuelea katika wakati, kupitia maisha. Miaka inageuka kama ndoto.
Tukizunguka kwa ajili ya umaarufu na mali.
Maisha kutumika kwa vitu vya mwili. Hakuna kitu ambacho kimetolewa kwa ukweli.
Siku, miezi, na miaka inapita tu hivi.
Hakuna fikira ya mateso ya Mungu mwenyewe ama uzuri Wake mkuu.

8/01/2018

Nyimbo za Kanisa | Toba

Nyimbo za Kanisa | Toba
Nia nzuri, ushauri wa siku za mwisho unamwamsha mwanadamu kutoka usingizi mzito.
Fikira za uchungu, upako uliobaki unatesa dhamiri yangu.
Kwa kuchanganyikiwa, naomba kwa hofu. Mkono moyoni, nikitubu.
Wewe ni mkarimu sana, lakini nilikuhadaa na upendo wa uongo.
Roho yangu ovu haikujua majuto.