Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Maafa. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Maafa. Onyesha machapisho yote

6/23/2018

Mungu Aliilinda Familia Yetu Wakati wa Maafa

***********🌼🌼🌼❤️❤️❤️***********
~~~~~~~❤️❤️❤️🌻🌻🌻************🌻🌻🌻❤️❤️❤️~~~~~~
Wang Lan, Beijing
Agosti 6, Mwaka wa 2012
Mnamo Julai 21, mwaka wa 2012, mafuriko makubwa zaidi tangu miaka sitini yalipitia kijijini mwetu kwa nguvu mno. Maafa yalianguka kutoka mbinguni, maji ya mafuriko yalichanganya matope na mawe na kuharibu kijiji chote. Nyumba nyingi ziliharibiwa na maji na maporomoko ya matope.

5/24/2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Njia ya Pekee ya Kuepuka Maafa

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, ushuhuda

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Njia ya Pekee ya Kuepuka Maafa

Chaotuo    Mji wa Xiaogan, Mkoa wa Hubei
Tangu tetemeko la ardhi la Sichuan, daima nimekuwa na hofu na wasiwasi kwamba siku moja huenda nikakumbwa na maafa. Hasa kwa vile nimeona maafayakiongezeka, na matetemeko ya ardhi yakiwa ya mara kwa mara, hofu yangu yamaangamizi imekuwa hata wazi zaidi.

4/27/2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | 9. Katikati ya Maafa Niliona Ulinzi wa Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu | 9. Katikati ya Maafa Niliona Ulinzi wa Mungu

Zhang Min, Beijing
Agosti 6, Mwaka wa 2012
Mnamo Julai 21, mwaka wa 2012, mvua ilianza kunyesha sana asubuhi. Kufikia wakati wa adhuhuri wakati nilipaswa kwenda kwa mkutano, niliona mvua ilikuwa nzito sana kiasi kwamba sikutaka kwenda. Lakini ulikuwa mara moja tu kwa wiki, kama singeenda singekuwa na njia yoyote ya kufanya kazi yangu ya kanisa. Chochote kilichokuwako kikiendelea nje, bado ilinipasa nishiriki nao. Nilipofikiria hayo, niliharakisha kwenda kwa mkutano. Baada ya saa kumi alasiri hiyo, yule ndugu wa kiume wa mahali pa kukutana alikimbia akarudi nyumbani akisema: "Bado mnafanya mkutano, endeni nyumbani, kuna maji mengi yanayoteremka pale." Nilikwenda na kuangalia na kulikuwa na maji mengi sana yaliyokuwa yakiteremka, mto huo ulikuwa umefurika na ukipanda juu sana.

3/20/2018

πŸ§‘πŸ–Ό️πŸ™‚Kanisa la Mwenyezi Mungu | Je, kweli wanadamu wana uamuzi juu ya hatima yao?

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,Injili

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Je, kweli wanadamu wana uamuzi juu ya hatima yao?

    Sisi hufikiri kwamba tunaweza kujenga nyumba nzuri kwa mikono yetu wenyewe, lakini kwa kweli sisi hudhibiti jaala yetu? Wakati maafa yanapofika, sisi ni wadogo sana, wasiojiweza na wasio na hakika…. Ni wakati kama huo tu tunapohisi udhaifu na thamani ya maisha …
πŸ‘€πŸ‘€↓↓↓~~~~~~~~~~~~~~~↓↓↓πŸ‘‚πŸ‘‚
~~~~~~~~~~~~~~~~~    πŸ‘‚               πŸ˜‰            πŸ’š          πŸ’š     ~~~~~~~~~~~~~~~~~
~~~~~~~~~~~~~~~

8. Mungu Aliilinda Familia Yetu Wakati wa Maafa


Wang Lan, Beijing
Agosti 6, Mwaka wa 2012

    Mnamo Julai 21, mwaka wa 2012, mafuriko makubwa zaidi tangu miaka sitini yalipitia kijijini mwetu kwa nguvu mno. Maafa yalianguka kutoka mbinguni, maji ya mafuriko yalichanganya matope na mawe na kuharibu kijiji chote.

πŸ–Ό️πŸ“–πŸ€²πŸ‘Umeme wa Mashariki | Je, kweli wanadamu wana uamuzi juu ya hatima yao?

 Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,ushuhuda

Umeme wa Mashariki | Je, kweli wanadamu wana uamuzi juu ya hatima yao?

    πŸ‘€πŸ‘€~~~~~~~~~~~πŸ’“***************πŸ’“~~~~~~~~~~~πŸ‘‚πŸ‘‚
πŸ‘‰πŸ‘‰➨➨➨➨➨➨➨➨➨➨➨➨➨➨➨πŸ‘‡πŸ‘‡
    Kama tumekabiliwa na maafa yasiyotarajiwa, maarifa yetu yote, ujuzi, na uwezo havina maana yoyote … yote tunayohisi ni hali ya kutojiweza, kutokuwa na uhakika, mshtuko, hofu, sisi huhisi udhaifu wa maisha…. Na hatuwezi kujizuia kujiuliza: Ni nani huidhibiti jaala yetu? Ni nani wokovu wetu wa pekee?

Utambulisho7. Katikati ya Maafa Niliiona Tabia ya Haki ya Mungu

Li Jing, Beijing
7 Agosti, mwaka wa 2012
Siku hiyo, ilianza kunyesha asubuhi. Nilikwenda kwa mkutano nyumbani mwa ndugu mmoja, wakati mvua ilipoendelea kuongezeka zaidi na zaidi kwa uzito.Kufikia alasiri ilikuwa ikinyesha kana kwamba ilitoka mbinguni moja kwa moja. Wakati tulipomaliza mkutano wetu, mvua ilikuwa imeingia katika ua wa ndugu yangu, lakini kwa sababu nilikuwa na wasiwasi juu ya familia yangu, nilijitahidi kwenda nyumbani. Nusu ya barabara huko, baadhi ya watu waliokimbia hatari waliniambia, “Je, si wewe unatoroka, bado unakwenda nyumbani?” Nilipofika nyumbani, mtoto wangu aliniuliza, “Je, mafuriko hayakukuzoa?” Ni hapo tu nilipojua kwamba sikuwa na Mungu moyoni mwangu.

3/06/2018

✍️πŸŒΉπŸ’–10. Upendo wa Mungu ni wa Kweli KabisaπŸ™‚

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,Kanisa
Wenzhong , Beijing
Agosti 11, mwaka wa 2012
Usiku wa Julai 21, mwaka wa 2012, tulikuwa na mafuriko makubwa hapa, ambayo hutokea kwa nadra. Ningependa kumwambia kila mtu aliye na kiu ya Mungu kile nilichokipitia kwa kweli na kukiona wakati huo.
Siku hiyo mume wangu nami tuliutunza uga wa chakula kikavu cha mifugo wa dada yangu. Wakati wa usiku mvua nzito iliendelea kunyesha, na tulienda kulala mapema sana. Saa nne kasorobo usiku ndugu mkwe wangu wa kiume aliita akisema: “Wanaelekea kufungua hodhi! Kila kitu kitafurikiwa!