Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Sifa-za-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Sifa-za-Mungu. Onyesha machapisho yote

7/08/2019

Wimbo wa Maneno ya Mungu | "Jinsi Mungu Anavyotawala Vitu Vyote"🎡🎡♪(´▽`)😊


Wimbo wa Dini | "Jinsi Mungu Anavyotawala Vitu Vyote"

I
Kutoka unapoingia katika dunia hii ukilia,
unaanza kutenda wajibu wako.
Katika mpango na utaratibu wa Mungu, unachukua nafasi yako,
na unaanza safari ya maisha.
Vyovyote vilivyo msingi wako ama safari iliyo mbele yako,
hakuna anayeweza kuepuka utaratibu na mpango ambao Mbingu imeweka,
na hakuna aliye na amri juu ya hatima yake,
kwani ni Yule tu anayetawala juu ya vitu vyote ndiye ana uwezo wa kazi kama hii.

6/11/2019

Wimbo wa Dini | Wimbo wa Onyo Jema

Wimbo wa Dini | Wimbo wa Onyo Jema


Kristo ni mshindi. Kristo ni mshindi.
I
Kwa kumfuata Mungu na kupata ukweli, unaitembea njia ya uzima.
Kwa kutafuta teolojia na kujadili nadharia, unawadhuru wengine na wewe mwenyewe.
Kuhubiri mafundisho na kushikilia sheria kunaonyesha kwamba huna uhalisi.
Kwa kutoa wito kwa sauti na kutotenda, unamdanganya Mungu waziwazi.

3/03/2019

Matamshi ya Kriso—Sura ya 6

Mwenyezi Mungu, Mkuu wa vitu vyote, hushika madaraka Yake ya kifalme kutoka kwa kiti Chake cha enzi. Yeye hutawala ulimwengu na vitu vyote Naye Anatuongoza katika dunia yote. Mara kwa mara tutakuwa karibu Naye, na kuja mbele Zake kwa utulivu; kamwe hatutakosa wakati mmoja, na kuna mambo ya kujifunza wakati wote. Mazingira yanayotuzunguka pamoja na watu, mambo na vitu, yote yameruhusiwa na kiti Chake cha enzi. Usiwe na moyo wa kunung’unika, au Mungu hatatupa neema Yake juu yako.

12/09/2018

Latest Swahili Christian Video "Kufungulia Moyo Minyororo"


Latest Swahili Christian Video "Kufungulia Moyo Minyororo" | Are We Really in Control of Our Own Fate?

Chen Zhi alizaliwa katika familia iliyokuwa masikini. Shuleni, "Maarifa yanaweza kubadilisha majaliwa yako" na "Majaliwa ya mtu yako mikononi mwake" kama alivyofundishwa na shule ikawa wito wake. Aliamini kuwa almuradi angefanya kazi kwa bidii siku zote, angeweza kuwa bora kuliko wenzake, na kujipatia sifa na umaarufu. Baada ya kuhitimu kutoka chuo kikuu, Chen Zhi alipata kazi iliyolipa vizuri sana katika biashara ya nchi za nje.

11/17/2018

Best Swahili Christian Music Video 2018 "Upendo kwa Mungu" | The Love of God Never Leaves Us



🎡🎡🎡🎡🎡😊😊😊😊😊πŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺπŸŽ‰πŸŽ‰πŸŽ‰πŸŽ‰πŸŽ‰πŸŽ‰πŸŒΊπŸŒΊπŸŒΊπŸŒΊπŸŒΊπŸŒΊπŸŒΊπŸŒΊπŸŒΊπŸŒΊ

Best Swahili Christian Music Video 2018 "Upendo kwa Mungu" | The Love of God Never Leaves Us

I
Ee Bwana,
Nimefurahia nyingi ya neema Yako.
Kwa nini mimi daima huhisi tupu ndani?
Je, sijapata ukweli na uzima?

II
Kusoma maneno haya kunaweza kuyajibu maswali yako.

8/27/2018

Nyimbo za kanisa | Niko Tayari Kutekeleza Wajibu Wangu kwa Uaminifu

Nyimbo za Kanisa | Niko Tayari Kutekeleza Wajibu Wangu kwa Uaminifu

Mpendwa Mwenyezi Mungu, ni Wewe ndiye Unayenipenda,
uliniinua kutoka kwa rundo la kinyesi hadi kwa mazoezi ya ufalme.
Maneno Yako yamenitakasa mimi, yakanifanya nianze kuishi maisha ya furaha.
Moyoni mwangu nahisi, kwa kweli, ni upendo Wako mkuu.
Aa … aa … aa … aa … Mpendwa Mwenyezi Mungu!

8/25/2018

Kwa Kuwa Mungu Anamwokoa Mwanadamu, Atamwokoa Kabisa

Kwa kuwa Mungu alimwokoa mwanadamu, Atamwongoza;
kwa kuwa Anamwokoa mwanadamu, Atamwokoa na kumpata kabisa;
kwa kuwa anamwongoza mwanadamu, Atamfikisha katika hatima sahihi.
Kwa kuwa Alimuumba mwanadamu, kwa kuwa Anamsimamia mtu,
Ni lazima awajibikie matarajio na jalaa ya mwanadamu.
Ni hii ndiyo kazi inayofanywa na Muumba.

8/21/2018

Nataka Kumwimbia Mungu

Nimepata mengi kutoka kwa kazi ya Mungu ya ukweli.
Kutoka kwa maneno Yake, upotovu wa mwanadamu nimeona.
Kutoka kwa ukweli Wake, tabia ya Mungu, maana ya maisha nimejua.
Hukumu ya Mungu inafichua uasi wa mwanadamu, upotovu wa kishetani unaonekana.
Majaribu hufichua ukosefu wangu wa ukweli, nikiamguka mbele ya Mungu natubu.

8/15/2018

Upendo wa Mungu Unaenea Duniani Kote


Upendo wa Mungu Unaenea Duniani Kote

Mwenyezi Mungu, Wewe ni mwenye haki, Wewe ni mtakatifu.
Upendo Wako safi ni kama chembe ya theluji ikicheza hewani,
nyeupe, nzuri, inayonukia, ikiniangukia, ikiyeyuka katika upendo wangu mara moja.
Kupitia uboreshaji Wako upendo wangu Kwako umekuwa halisi kabisa.
Nikuache upange njia ya maisha yangu Wewe binafsi.

8/14/2018

Kiini na Tabia ya Mungu Daima Vimekuwa Wazi kwa Binadamu

Tangu uhusiano wa kwanza wa Mungu na mwanadamu, Amekuwa akifichua kwao
Kiini Chake na kile Alicho na Alicho nacho, bila kukoma, kila wakati.
Kama watu katika enzi wanaweza kuona au kuelewa,
Mungu huzungumza na kufanya kazi ili kuonyesha tabia Yake na kiini.

Nyimbo za Kanisa la Mwenyezi Mungu | Maisha Yetu Sio Bure🎻🎀🎡

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Msifuni Mwenyezi Mungu


🎻🎻🎻*********************🎀🎀🎀********************🎡🎡🎡🎡

πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡~~~~~~~~~~~~~~πŸ’“πŸ’“πŸ’“πŸ’“πŸ’“

Maisha yetu sio bure. Maisha yetu sio bure.
I
Leo tunakutana na Mungu, tunapitia kazi Yake. Tumemjua Mungu katika mwili, wa utendaji na wa hakika. Tumeiona kazi Yake, nzuri na ya ajabu. Kila siku ya maisha yetu sio bure. Tunamshuhudia Kristo kama ukweli na uzima! Kufahamu na kukumbatia fumbo hili. Nyayo zetu ziko katika njia ng’avu zaidi ya hadi katika uzima. Hatutafuti tena, yote yako wazi kwetu. Mungu, tutakupenda Wewe milele bila majuto. Tumepata ukweli, uzima wa milele tutapata. Maisha yetu sio bure, sio bure. Maisha yetu sio bure. Maisha yetu sio bure.

7/18/2018

Sifu Mungu | Wewe Tu Unaweza Kuniokoa MimiπŸŽΌπŸŽ™️πŸ˜‡πŸ˜‡

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Nyimbo


Sifu Mungu | Wewe Tu Unaweza Kuniokoa Mimi

 I 
Mnyenyekevu na Uliyejificha, Waambatana na watu katika matatizo yao, Ukiwapa njia ya uzima wa milele. Unawapenda binadamu kama mwili Wako mwenyewe. Na Wastahili upendo wao. Afadhali Uteseke Mwenyewe, ili Umwezeshe mwanadamu apate faida. Na Wanyesha uzima juu yao. Moyo Wako unapendeza kweli, Wewe ni mwenye haki sana na Wastahili sifa ya mwanadamu. Maneno Yako yanitwaa. Hukumu Yako yanitakasa. Wewe pekee Waweza niokoa.

6/23/2018

Nyimbo ya Msifuni Mwenyezi Mungu | Maisha Yetu Sio Bure

Nyimbo ya Msifuni Mwenyezi Mungu  | Maisha Yetu Sio Bure

Maisha yetu sio bure.
Maisha yetu sio bure.

🎧🎧🎧🎧🎧🎧~~~~~🎼🎼🎼🎼🎼~~~~~~😍😍😍
I
Leo tunakutana na Mungu,
tunapitia kazi Yake.
Tumemjua Mungu katika mwili,
wa utendaji na wa hakika.

6/09/2018

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Kujijua Mwenyewe Hasa Ni Kujua Asili ya Binadamu

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | Kujijua Mwenyewe Hasa Ni Kujua Asili ya Binadamu 

La muhimu katika kufikia badiliko la tabia ni kujua asili ya mtu mwenyewe, na hili ni lazima litoke kwa ufunuo na Mungu. Ni katika neno la Mungu tu ambapo mtu anaweza kujua asili yake ya kutia kinyaa, afahamu katika asili yake mwenyewe sumu mbalimbali za Shetani, atambue kuwa yeye ni mjinga na mpumbavu, na atambue dalili dhaifu na hasi katika asili yake mwenyewe. Mara haya yanapojulikana kikamilifu, na unaweza kwa hakika kunyima mwili, daima kutekeleza neno la Mungu, na kuwa na mapenzi ya kujiwasilisha kikamilifu kwa Roho Mtakatifu na kwa neno la Mungu, basi umeianza njia ya Petro.

6/05/2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Ufalme Takatifu Umeonekana

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Ufalme Takatifu Umeonekana

Jua la haki hung’aa juu ya nchi zote, linarejesha viumbe vyote vilivyo hai.
Watu wa Mungu wanakusanyika kwa furaha, ili kusifu mafanikio Yake makubwa.
Nchi zote wanacheza, wanaimba, wanashangilia. Kila kitu chenye pumzi kinakuja kusifu,
sifa kwa ushindi na kuja kwa siku ya Mungu.

4/26/2018

Swahili Christian Song "Ni Furaha Kuu kuwa Mtu Mwaminifu" | Mbinguni ni mahali pa mtu mwaminifu




πŸŽ‰πŸŽ‰****************🎻🎻**************πŸŽ™️πŸŽ™️*******************🎼🎼
πŸ˜‡πŸ˜‡*******************πŸ’“πŸ’“****************🎧🎧****************🌺🌺🌺
Kuelewa ukweli huiachilia huru roho ya mtu 
na kumfanya mtu kuwa mwenye furaha.
Nimejazwa na imani katika neno la Mungu na sina shaka.
Mimi niko bila uhasi wowote, 
sirudi nyuma, na kamwe sikati tamaa.
Ninauunga mkono wajibu wangu 
kwa moyo wangu wote na mawazo, na siujali moyo.
Ingawa ubora wa tabia yangu ni wa chini, 
nina moyo wa uaminifu.
Nimejitolea kikamilifu katika kila kitu 
ili kuyaridhisha mapenzi ya Mungu.