Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Msifuni-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Msifuni-Mungu. Onyesha machapisho yote

4/19/2019

Wimbo wa Kuabudu | "Umuhumi wa Maombi" | How to Gain the Praise of God


Utambulisho

Wimbo wa Kuabudu | "Umuhumi wa Maombi" | How to Gain the Praise of God


Maombi ni njia moja ya mwanadamu kushirikiana na Mungu,

kuita Roho Wake na kuguswa na Mungu.

Kadiri unavyoomba zaidi, ndivyo utakavyoguswa zaidi, kuangaziwa na kuwa mwenye nguvu-nia.

Watu kama hao wanaweza kufanywa kamili hivi karibuni.

2/12/2019

Nyimbo za Injili | Ni Bahati Yetu Nzuri Kumhudumia Mungu

I
Tunasikia sauti ya Mungu na kuthibitisha kuonekana na kazi ya Mungu.
Tuna bahati sana kukaribisha kurudi kwa Bwana.
Tunahisi msisimko sana kumwona Mungu wa vitendo uso kwa uso.
Ee! Kwa kuhudhuria sikukuu pamoja na Mungu, tunainuliwa hadi katika ufalme wa mbinguni!

1/27/2019

Nyimbo za Injili "Anga Hapa ni Samawati Sana"


Nyimbo za Injili "Anga Hapa ni Samawati Sana" | The Kingdom of God Has Already Descended


I
Aa ... hii hapa anga,
oh ... anga iliyo tofauti sana!
Harufu ya kupendeza inasambazwa kote kwenye nchi, na hewa ni safi.
Mwenyezi Mungu alikuwa mwili na anaishi miongoni mwetu,
Akionyesha ukweli na kuanza hukumu ya siku za mwisho.

11/14/2018

Jina la Mungu Linatukuzwa Kati ya Mataifa

I
Kusudi la hukumu ya Mungu ni kuhimiza utiifu wa mwanadamu;
kusudi la adabu ya Mungu ni kuruhusu mbadiliko wa mwanadamu.
Ingawa kazi ya Mungu ni kwa ajili ya usimamizi Wake,
hakuna kitu Anachofanya kisicho kizuri kwa mwanadamu.

9/15/2018

Nyimbo za Kanisa | Nataka Kupenda Mungu Zaidi

Nyimbo za Kanisa | Nataka Kupenda Mungu Zaidi

Upendo wa Mungu unayeyusha moyo wangu, na kusafisha dhana zangu zenye makosa.
Nauelewa moyo Wake, upendo Wake ulio na nguvu.
Kuanzia sasa, nisilalamike tena kamwe; upendo wote uliopotea sasa umerejeshwa.
Mungu hunipa fadhila nyingi katika upendo; nataka kumpa maisha yangu.

9/07/2018

Nyimbo ya Msifuni Mwenyezi Mungu | Katika Mapana na Marefu, Mwaminifu Hadi Kifo

Nyimbo ya Msifuni Mwenyezi Mungu | Katika Mapana na Marefu, Mwaminifu Hadi Kifo

Kutoka mbinguni hadi duniani, Akijificha katika mwili.
Akifanya kazi miongoni mwa wanadamu, katika upepo na mvua.
Ukachukua njia ngumu, ukafungua enzi mpya.
Kumkomboa mwanadamu, kutoa maisha Yako na kumwaga damu.
Upepo na mvua, miaka mingi sana. Kutelekezwa na kila mwanadamu.

9/03/2018

Mfuate Mungu Katika Njia Yenye Mabonde

Kila ambacho nimewahi kuwa nacho, mimi hukitumia kwa Mungu.
Kila nilicho nacho nakitoa; najitoa mwenyewe Kwake.
Familia imenitelekeza; nimekashifiwa na dunia.
Basi, njia ya kumfuata Mungu ina mabonde, imejaa na mawe na miiba.
Nilitoa kila kitu changu ili kueneza ufalme wa Mungu mbali.

7/23/2018

Ee Mungu, Siwezi kuwa bila Wewe

Ni Wewe unayenileta mbele Yako.
Ni maneno Yako matamu, ni upendo Wako wa upole,
Upendo Wako unaofurahisha sana, ndio unashikilia moyo wangu sana,
ambao unafanya moyo wangu kukupenda Wewe kutoka siku hii na kuendelea.
Ee … Moyo wangu unakufikiria kukuhusu Wewe kila wakati.

4/23/2018

Jinsi Upendo wa Mungu kwa Mwanadamu Ulivyo Muhimu

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,Upendo kwa Mungu

Umeme wa Mashariki | Wimbo wa Maneno ya Mungu

I
Mandhari iliyochorwa katika Biblia "Amri ya Mungu kwa Adamu"
ni ya kugusa na yenye kutia moyo.
Ingawa hiyo picha ina Mungu na mtu tu,
uhusiano kati ya hao wawili ni wa ndani sana
tunaanza kuhisi mshangao, mshangao na uvutiwaji.
II
Upendo wa Mungu unaofurika umepewa mwanadamu bure,
upendo wa Mungu umemzunguka.

12/03/2017

Nyimbo ya Msifuni Mwenyezi Mungu | Wimbo wa Uzoefu wa Maisha Furaha katika Nchi Nzuri ya Kanaani


Nyimbo ya Msifuni Mwenyezi Mungu | Wimbo wa Uzoefu wa Maisha Furaha katika Nchi Nzuri ya Kanaani

I
Nimerudi kwa familia ya Mungu,
mchangamfu na mwenye furaha.
Mikono yangu imemshika mpendwa wangu,
moyo wangu ni miliki Yake.
Japo nimepitia Bonde la Machozi,
nimeyaona mapenzi ya Mungu.
Mapenzi yangu kwa Mungu hukua siku baada ya siku,
Mungu ndiye chanzo cha furaha yangu.
Nikiduwazwa na uzuri wa Mungu,
moyo wangu umeshikizwa kwa Mungu.

10/20/2017

Mbingu Mpya na Nchi imeonekana "Ulimwengu na Eneo Kubwa Zamsifu Mungu"



Ha … nyimbo ni nyingi na ngoma ni za madaha;

ulimwengu na miisho ya dunia zinakuwa bahari inayosisimka.

Ha … mbingu ni mpya na dunia ni mpya.

Eneo kubwa la ulimwengu limejaa kusifu; tunapiga ukelele na kuruka kwa shangwe.

Milima yajiunga na milima na maji mengi kujiunga na maji mengi, ndugu wote wa kiume na kike ni wandani.

Twamsifu Mungu bila kukoma. Viumbe wampenda Mungu,

wakija, mbele ya kiti chake cha enzi kwa furaha kuabudu pamoja.