Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya. Onyesha machapisho yote

9/23/2019

Wale Ambao Mungu Atawaokoa ni wa Kwanza Kabisa Moyoni Mwake

Wale Ambao Mungu Atawaokoa ni wa Kwanza Kabisa Moyoni Mwake

I
Kazi ya Mungu ya kuokoa ni muhimu vipi,
muhimu zaidi kuliko vitu vingine vyote Kwake.
Kwa mipango na mapenzi yaliyokusudiwa, sio mawazo na maneno tu,
Anafanya kila kitu kwa wanadamu wote.
Oh ni muhimu kiasi gani, kazi ya Mungu ya kuokoa, kwa ajili ya mwanadamu na Yeye Mwenyewe.
Jinsi gani Mungu anajishughulisha, ni juhudi gani Anayofanya.
Anasimamia kazi Yake, anatawala vyote, watu wote.
Hajawahi kuonekana kabla, kwa gharama kubwa sana.

9/14/2019

Ulimwengu wote ni Mpya Kabisa katika Utukufu wa Mungu

Katika ufalme Wake, maneno ya Mungu hutoka.
Naye hutembea kila mahali duniani.
Naye amefanikiwa juu ya maeneo yote ya duniani,
juu ya nchi yote iliyo najisi na yenye uchafu.
Sio mbingu tu bali dunia inabadilika.
Na hivi karibuni dunia itafanywa upya.
Ulimwengu wote ni Mpya Kabisa katika Utukufu wa Mungu.
Ni ajabu iliyoje kwa kila mtu kuona.
Inaonekana kama mmwanadamu anaishi mbinguni ambako mwanadamu anafikiria,
huru kutoka kwa mfumbato wa Shetani na mashambulizi ya maadui.

9/07/2019

Mungu Anamthamini Yule Anayeweza Kusikiliza Neno Lake na Kumtii


Mungu Anamthamini Yule Anayeweza Kusikiliza Neno Lake na Kumtii



I

Mungu hajali kama mtu ni wa chini ama mkubwa.
Mradi tu anamsikiliza Mungu,
anatii kile ambacho Mungu anaamuru na kumwaminia,
anaweza kushirikiana na kazi Yake, na mpango Wake na mapenzi Yake,
ili mapenzi Yake na mpango uweze kuendelea bila kizuizi,
kitendo kama hiki kinastahili, kinastahili kukumbukwa na Mungu,
na kinastahili kupokea, kupokea baraka Yake.
Mungu anathamini watu kama hao, na Anapenda sana matendo yao,
na moyo wao na upendo Kwake.
Huu ni mtazamo wa Mungu.

9/04/2019

Mungu Mwenye Mwili Awaongoza Binadamu Kuingia Katika Enzi Mpya

Mungu Mwenye Mwili Awaongoza Binadamu Kuingia Katika Enzi Mpya

I

Mungu mwenye mwili, Anaitamatisha enzi
wakati tu mgongo wa Yehova ulionekana.
Pia Anahitimisha enzi ya imani
ambapo kutokuwa yakini kwa Mungu kulifikiriwa.
Kazi ya Mungu wa mwisho mwenye mwili
humleta mwanadamu katika enzi ya utendaji zaidi.
Kazi Anayofanya huwaleta binadamu wote
kwa wakati wa kupendeza na wa kweli zaidi.
Anatamatisha enzi ya udhahania,
Anatamatisha enzi ambapo mwanadamu
alitamani kuutafuta uso wa Mungu lakini hakuweza wakati huo.
Anatamatisha huduma ya mwanadamu kwa Shetani, mwanadamu anaongozwa hadi katika enzi mpya.
Yote haya yanafanikishwa na kazi ya Mungu katika mwili,
badala ya Roho wa Mungu pekee.

7/15/2019

Fuata Njia ya Mungu katika Vitu Vyote Vikubwa na Vidogo

Ili kufuata njia ya Mungu,
usiache chochote kilicho karibu na wewe,
ama kile kinachofanyika karibu na wewe,
hata kama ni kidogo sana na kidogo.
Ilimradi kifanyike,
kama unahisi kinastahili umakinifu wako ama hapana,
usikiache.
Kione kama jaribio kutoka kwa Mungu wetu.

7/14/2019

Mungu Amemleta Mwanadamu Katika Enzi Mpya

Kazi ya Mungu inaongoza ulimwengu wote na, zaidi ya hayo, umeme unaangaza moja kwa moja kutoka Mashariki hadi Magharibi.
I
Mungu anaeneza kazi Yake kati ya mataifa.
Utukufu Wake unaangaza katika ulimwengu.
Mapenzi Yake, yaliyomo katika wanadamu waliotawanyika,
wote wakiongozwa na mkono Wake, wakifanya kazi walizopewa.
Sasa Ameingia katika enzi mpya,
kuleta wanadamu wote katika ulimwengu mwingine.

7/13/2019

Shetani Hawezi Kubadili Chochote Chini ya Mamlaka ya Mungu

I
Ni kwa miaka ngapi, maelfu ya miaka,
Shetani amekuwa akimpotosha mwanadamu, akifanya mabaya mengi sana.
Vizazi, kimoja baada ya kingine vimedanganywa naye.
Oh, ni uhalifu kiasi kipi, uhalifu wa kuogofya
ambao Shetani amefanya katika dunia hii yote.
Alimchangamsha mwanadamu kupigana na Mungu, akamnyanyasa, na kumdanganya mwanadamu,
akatafuta kuuharibu mpango wa usimamizi wa Mungu.

7/12/2019

Wimbo za Kanisa | Njooni Zayuni Kwa Sifa

I
Njooni Zayuni kwa sifa. Makao ya Mungu tayari yameonekana.
Njooni Zayuni Kwa Sifa.
Nyote imbeni sifa za jina Lake takatifu; linaenea.
Mwenyezi Mungu! Mtawala wa ulimwengu, Kristo wa Mwisho, jua letu linalong’aa na kuangaza,
Ameinuka kutoka Mlima mkuu wa ulimwengu Zayuni. Mwenyezi Mungu!
Njooni Zayuni Kwa Sifa.
Sote tunakushangilia Wewe, tunaimba na kucheza.
Wewe kweli ndiwe Mwokozi wetu na Bwana wa ulimwengu.

6/25/2019

Ufalme wa Mungu Umetengenezwa Kati ya Wanadamu

I
Katika dunia na ulimwengu, hekima ya Mungu inaweza kuonekana.
Kati ya vitu vyote na watu wote, hekima Yake inapata matunda mazuri.
Kila kitu kinafanana na mazao ya ufalme wa Mungu.
Binadamu anapumzika chini ya mbingu ya Mungu kama kondoo katika malisho ya Mungu.
Mungu anaweza kupumzika Zayuni tena; mwanadamu anaweza kuishi chini ya uongozi wa Mungu.
Watu wanaweza yote katika mkono wa Mungu.

6/11/2019

Wimbo wa Dini | Wimbo wa Onyo Jema

Wimbo wa Dini | Wimbo wa Onyo Jema


Kristo ni mshindi. Kristo ni mshindi.
I
Kwa kumfuata Mungu na kupata ukweli, unaitembea njia ya uzima.
Kwa kutafuta teolojia na kujadili nadharia, unawadhuru wengine na wewe mwenyewe.
Kuhubiri mafundisho na kushikilia sheria kunaonyesha kwamba huna uhalisi.
Kwa kutoa wito kwa sauti na kutotenda, unamdanganya Mungu waziwazi.

3/22/2019

Umuhimu wa Kuonekana kwa Mungu

I
Kuonekana kwa Mungu kunataja kufika Kwake binafsi duniani ili kufanya kazi Yake.
Na utambulisho Wake mwenyewe na tabia, na kwa njia Yake mwenyewe,
Yeye anashuka kati ya mwanadamu ili kuanza enzi na kumaliza enzi.
Kuonekana kama huku sio ishara ama picha.
Si aina ya sherehe.
Si muujiza. Si ono kuu.
Pia sio aina ya mchakato wa kidini hata zaidi.

3/20/2019

Ni Wakati Tu Ambapo Mungu Anakuwa Mwili Ndipo Mwanadamu Anaweza Kuwa Mwandani Wake

I
Ni Wakati tu Mungu anapojinyenyekeza Mwenyewe kwa kiwango fulani,
kumaanisha Anakuwa mwili ili kuishi kati ya wanadamu,
hapo ndipo wataweza kuwa wasiri Wake,
hapo ndipo wanaweza kuwa marafiki Zake wa karibu.
Mwanadamu anawezaje kupata sifa ya kuwa mwandani wa Mungu
wakati ambapo Mungu ni wa Roho, ameinuliwa na mgumu kumwelewa?

3/19/2019

Wimbo wa Injili | Mandhari Mapya Kila siku ya Ufalme

Wimbo wa Injili | Mandhari Mapya Kila siku ya Ufalme

I
Katika Mashariki, jua linalochomoza linaangaza katika anga zenye ukungu,
na ufalme wa uzuri mkuu
umekamilishwa katika ulimwengu huu.
Ulimwengu unayakubali maisha mapya, vitu vyote vinapewa nguvu mpya.
Eh! Pambazuko limefika sasa.

2/23/2019

Ni kwa Kufanya Kazi Katika Mwili Pekee Ndiyo Mungu Anaweza Kumpata Binadamu

I
Kupitia katika neno la Mungu wa utendaji,
unyonge wa mwanadamu na uasi yanahukumiwa na kufichuliwa.
Kisha wanadamu wanapokea kile wanachohitaji.
Wanaona kuwa Mungu amekuja katika ulimwengu huu wa binadamu.
Kazi ya Mungu wa utendaji ina nia ya kumwokoa kila mmoja kutoka kwa ushawishi wa Shetani,
kuwaokoa wait kutoka kwa uchafu na tabia iliyopotoshwa na Shetani.

2/20/2019

Wimbo Injili | Kutafuta Wandani

I
Umefanya kazi katika bustani kwa muda mrefu na Umepanda upendo Wako ndani sana.
Umelipa kila gharama, Ukitamani kuwapata watu ambao wana moyo mmoja na Wewe.
Umetafuta kwa muda mrefu—ni nani anayeweza kuelewa dhiki Yako?
Umewekeza upendo mwingi sana wa kweli, lakini ni vigumu Kwako kupata faraja katika maumivu Yako.

2/18/2019

Ee Mungu, Moyo Wangu Tayari ni Wako

I
Ee Mungu, Maneno Yako yote ni ukweli. Ufunuo wa maneno Yako unaniwezesha kujiona vizuri zaidi.
Ingawa nilikuwa nikitangaza kwa sauti upendo wangu Kwako, nilijitolea Kwako, na kuacha vitu kwa ajili Yako, leo najua kwamba yote yalikuwa ili kupata baraka na taji.
Nahisi majuto sana moyoni mwangu, na ni jambo la kudharauliwa sana kufanya mikataba na Wewe.

2/17/2019

Nyimbo za Kanisa | Kufuatilia Ukweli ili Kujiokoa Mwenyewe

Ninathibitisha kwamba Kristo ndiye ukweli, njia, na uzima.
Sitapumzika mpaka nimjue Mungu!
Kama siwezi kuvumilia mateso ninayopaswa kubeba, sitastahili kuitwa binadamu kamwe.
Kama siwezi kulipiza upendo wa Mungu nitahisi aibu mno kumwona Yeye.
I
Neno kuonekana katika mwili ni Mungu Mwenyewe.

2/12/2019

Nyimbo za Injili | Ni Bahati Yetu Nzuri Kumhudumia Mungu

I
Tunasikia sauti ya Mungu na kuthibitisha kuonekana na kazi ya Mungu.
Tuna bahati sana kukaribisha kurudi kwa Bwana.
Tunahisi msisimko sana kumwona Mungu wa vitendo uso kwa uso.
Ee! Kwa kuhudhuria sikukuu pamoja na Mungu, tunainuliwa hadi katika ufalme wa mbinguni!

2/08/2019

Mwanadamu Aliyepotoka Anahitaji Wokovu wa Mungu Mwenye Mwili

Mwanadamu Aliyepotoka Anahitaji Wokovu wa Mungu Mwenye Mwili

I
Mungu alikuwa mwili kwa sababu chombo cha kazi Yake
sio roho wa Shetani, wala chochote, kisicho cha mwili, bali ni mwanadamu.
Mwili wa mwanadamu ulikuwa umepotoshwa na Shetani na hivyo ukakuwa chombo cha kazi ya Mungu.
Mahali pa wokovu wa Mungu ni mwanadamu, ni mwanadamu.

2/04/2019

Nyimbo za Maneno ya Mungu | Kazi na Maonyesho Huamua Kiini Chake

Nyimbo za Maneno ya Mungu | Kazi na Maonyesho Huamua Kiini Chake


I
Kiini cha Kriso kinaamuliwa na kazi Yake na maonyesho.
Na moyo ulio wa kweli, Anatimiza kile ambacho ameaminiwa nacho,
Anamwabudu Mungu aliye mbinguni na anatafuta mapenzi ya Baba Yake.
Haya yote yanaamuliwa na kiini Chake, na hivyo pia ufunuo Wake wa asili.
Unaitwa hivyo kwa sababu maonyesho Yake sio uigaji,
ama kutoka kwa miaka ya ukuzaji wa mwanadamu ama elimu.