6/05/2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Ufalme Takatifu Umeonekana

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Ufalme Takatifu Umeonekana

Jua la haki hung’aa juu ya nchi zote, linarejesha viumbe vyote vilivyo hai.
Watu wa Mungu wanakusanyika kwa furaha, ili kusifu mafanikio Yake makubwa.
Nchi zote wanacheza, wanaimba, wanashangilia. Kila kitu chenye pumzi kinakuja kusifu,
sifa kwa ushindi na kuja kwa siku ya Mungu.
Ulimwengu mzima ni mpya na unamshangilia Mungu kwa sauti na kwa ajili ya siku Yake takatifu.
Watu wamefanywa wakamilifu, sura ya Mungu imebadilika.
Baragumu takatifu inasikika mawinguni, ikipaza sauti katika pembe zote.
Na Mungu amefanya upya kila kitu kwa utumishi Wake na furaha Yake!
Watu wa Mungu, waliotakaswa na neno Lake, wakikusanyika mbele ya kiti cha enzi cha Mungu.
Mahali pachafu hapako tena, ufalme mtakatifu waonekana.
Mungu ametutakasa kabisa, na utukufu Wake unawaka.
Ufalme wa Mungu sasa umeumbika, tumefanywa wakamilifu.
Ukweli kutoka kwa mdomo wa Mungu unakuwa maisha hasa ya mwanadamu.
Kutoka kwa adabu ya Mungu, tunaona haki Yake.
Watu wa Mungu wanainama mbele za Mungu, wanamsifu Mungu mwenye  haki na mtakatifu;
na moyo wa kweli wanatii na kutenda wajibu wao.
Ee Mungu! Kwako tunasimama kama mashahidi, na sifa Kwako haitakosa kamwe.
Msifu Mungu, mwenye haki na mtakatifu!
Ee Mungu! Kwako twasimama kama mashahidi, na sifa kwako haitakosa kamwe.
Ee …

kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Sikiliza zaidi: Neno la Mwenyezi Mungu, Chanzo cha Mafanikio ya Umeme wa Mashariki 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni