6/30/2018

Nyimbo za Sifa | Moyo Wangu Hautatamani Chochote Zaidi

🎼🎼     → → πŸŽ™️πŸŽ™️  ↓↓    πŸ˜ŠπŸ˜Š       
~~~~~~~~~~~~🌺🌺🌺    **********     πŸ’“πŸ’“πŸ’“~~~~~~~~~~~~
πŸ˜‡πŸ˜‡
πŸ˜‡πŸ˜‡
Mungu amelipa gharama yote ya binadamu, akamwaga uhai Wake wote juu yetu.
Nahisi huzuni na kumwaga machozi ya majuto. Bila kujua nilimfanya Mungu ateseke sana.
Ni nini kilichopo ambacho siwezi kuachilia ili kuutosheleza moyo wa Mungu?
Nilichompa Mungu, ni kidogo sana kutaja, hakiwezi kumridhisha.
Hapo zamani nilikuwa mjinga, mpumbavu, asiyejua, na asiyetii,
kuumiza moyo wa Mungu.
Sasa nimeona kwamba Anakuwa mwili, Anakuwa mwili kabisa kwa ajili yetu.
Kupitia hukumu ya Mungu, najijua na tabia yangu potovu.
Nimejifunza kutii kwa mateso, tabia imebadilishwa.
Kila jaribio ni baraka.
Mungu amenipa zaidi ya yale niliyoitisha ama kufikiria.
Na yote ambayo nimepata kutoka kwa Mungu, sihisi huzuni tena.
Nimeonja karamu ambazo Mungu ametengeneza; zote ni nzuri kwangu.
Siku za usafishaji, Mungu alinipa upendo mwingi na siwezi kusahau.
Upendo mkubwa wa Mungu umeujaza moyo wangu na kukita mizizi moyoni mwangu.
Yote niliyo nayo leo ni kwa sababu ya neema, huruma na wokovu wa Mungu.
Kupitia hukumu ya Mungu, najijua na tabia yangu potovu.
Nimejifunza kutii kwa mateso, tabia imebadilishwa.
Hukumu na kuadibu kwa Mungu ni kwa ajili ya kuniokoa.
Kushindwa na kuja mbele Yake.
Kweli ni baraka yangu kuu katika maisha haya kuwa na bahati ya kumjua Mungu.
Nina furaha kukanyaga katika njia ya mwangaza, njia sahihi ya maisha ya binadamu.
Kuna thamani zaidi kukubali hukumu ya Mungu na kuadibu.
Utakatifu wa haki ya Mungu unafaa sifa ya milele, siwezi kuupenda vya kutosha.
Nataka kufurahia zaidi ya haki ya Mungu, nikimtumikia Mungu maisha yangu yote nayo.
Wewe ni Mungu wangu. Umeniokoa na kunibadilisha kuwa mmoja na binadamu.
Asante milele, kwani nimefurahia neema nyingi
na kupata uzima wa kweli. Nimepata uzima wa kweli.
kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya
 Tufuate: Nyimbo ya Msifuni Mwenyezi Mungu 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni