7/21/2018

Latest Swahili Christian Movie "Imani katika Mungu" | Hufunua Fumbo la Imani Katika Mungu



Yu Congguang huhubiri injili kwa niaba ya Kanisa la Mwenyezi Mungu. Wakati wa kuhubiri injili, aliandamwa na serikali ya Kikomunisti ya China. Alikimbia milimani, ambapo alipokea msaada kutoka kwa Zheng Xun, mfanyakazi mwenza wa kanisa la nyumba la mahali pale. Walipokutana mara ya kwanza, walihisi kama tayari walikuwa wamejuana kwa muda mrefu. Zheng Xun alimpeleka Yu Congguang kwenye kibanda cha makuti ambapo yeye na wafanyakazi wenzake walikusanyika. Huko, mjadala ulijitokeza miongoni mwa Zheng Xun na wafanyakazi wenzake kuhusu kama muumini katika Mungu anapaswa kutii wale walio madarakani au la. Yu Congguang alitoa ushirika kwa kuzingatia suala hili na kuondoa kuchanganyikiwa kwao. Ushirika wa Yu Congguang ulikuwa wa manufaa sana kwao, na wote wakaanza kutafuta na kujifunza kazi ya Mwenyezi Mungu ya siku za mwisho. Hata hivyo, Mzee Sun kutoka kanisa la mahali pale alipopata habari kwamba Yu Congguang alikuwa shahidi kutoka Kanisa la Mwenyezi Mungu, alifanya kila kitu ambacho angeweza kulizuia kanisa na kuwazuia wafuasi kutafuta njia ya kweli. Sun alikwenda katika nyumba moja hadi nyingine kumtafuta Yu Congguang, na hata kuwahamasisha wafuasi kumripoti Yu kwa polisi na kumkamata …

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni