6/08/2019

“Kupita Katika Mtego” – Kufunua Ukweli wa Maelezo ya Viongozi wa Kidini ya Biblia | Clip 2


“Kupita Katika Mtego” – Kufunua Ukweli wa Maelezo ya Viongozi wa Kidini ya Biblia | Filamu za Injili  (Movie Clip 2/7)


          Wachungaji na wazee wa ulimwengu wa dini mara nyingi huelezea Biblia kwa watu na kuwafanya washikilie Biblia. Kwa kufanya hivi, je, kwa kweli wanamwinua Bwana na kutoa ushahidi kwa ajili Yake? Watu wengi hawawezi kufahanu hili. Wachungaji na wazee huinua maneno ya mwanadamu ndani ya Biblia, kutumia maneno ya mwanadamu ndani ya Biblia kuchukua nafasi ya Bwana na kupinga maneno ya Bwana, na kuwaongoza watu katika ushirikina na kuabudu Biblia, ili Mungu atakapofanya kazi Yake mpya watu wengi wanajua tu Biblia na hawamjui Mungu, hata mpaka ambapo wanampiga Mwenye mwili msumari msalabani kulingana na Biblia. Kulingana na ukweli huu, je, wachungaji na wazee wa ulimwengu wa dini kweli wanamtukuza Bwana kwa kuelezea Biblia? Video hii fupi itakufunulia ukweli.

         Tazama Video: “Njia ya Kwenda katika Ufalme wa Mbinguni ni Yenye Hatari” – Kwa Nini Mafarisayo Wanampinga Mungu? | Swahili Gospel Film Clip 5/6

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni