7/24/2019

“Fichua Siri Kuhusu Biblia” – Imefichuliwa: Uhusiano Kati ya Mungu na Biblia | Clip 2/6


“Fichua Siri Kuhusu Biblia” – Imefichuliwa: Uhusiano Kati ya Mungu na Biblia | Swahili Gospel Movie Clip 2/6


Wachungaji na wazee wa kanisa wa ulimwengu wa dini wanaamini kuwa maneno na kazi zote za Mungu yamo ndani ya Biblia, kwamba wokovu wa Mungu katika Biblia ni mkamilifu na mradi watu waweke msingi wa imani yao katika Bwana katika Bibilia na washikilie Bibilia, basi wanaweza kunyakuliwa na wanaweza kuingia katika ufalme wa mbinguni. Je, kweli ukweli uko namna hii? Je, ni Mungu ambaye anaweza kufanya kazi kutuokoa, au Biblia? Je, ni Mungu ambaye anaweza kuonyesha ukweli, au Biblia? Ili kujifunza zaidi, tafadhali angalia video hii!

Tazama Zaidi: Tushughulikie Vipi Umeme wa Mashariki kwa Njia Inayolingana na Mapenzi ya Bwana?

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni