8/30/2019

Wimbo wa Kuabudu | Ishara ya Tabia ya Mungu

Wimbo wa Kuabudu | Ishara ya Tabia ya Mungu

I
Tabia ya Mungu inajumuisha upendo Wake na faraja Yake kwa binadamu,
Tabia ya Mungu,
tabia ya Mungu ni kitu ambacho Mtawala wa viumbe vyote vinavyoishi
au kile ambacho Bwana wa uumbaji wote anacho.
Tabia ya Mungu
inawakilisha heshima, nguvu, na maadili,
inawakilisha ukuu na utawala.
Tabia ya Mungu.
Mungu ni mkuu na mwenye heshima milele,
na mwanadamu, milele wa chini na asiye na thamani yoyote.
Kwani Mungu anajitolea milele Yeye Mwenyewe kwa mwanadamu,
ilhali mwanadamu milele anachukua na kujifanyia kazi mwenyewe.
II
Tabia ya Mungu ni ishara ya mamlaka, ya haki yote,
na ya yote ya kupendeza na yote mazuri.
Tabia ya Mungu,
inaashiria kuwa Mungu hawezi kuzuiwa
ama kushambuliwa na giza ama na nguvu zozote za uadui.
Hakuna kiumbe chochote kinachoweza au kinachoruhusiwa kumkosea.
Tabia ya Mungu ni ishara ya nguvu za juu zaidi.
Tabia ya Mungu.
Hakuna yeyote ama watu wanaoweza kuvuruga kazi Yake ama tabia Yake.
Mungu milele Anafanya kazi kwa ajili ya kuishi kwa binadamu,
ilhali mwanadamu hatoi chochote kamwe kwa mwangaza ama haki.
III
Mwanadamu anaweza kufanya kazi kwa muda, lakini hawezi kustahimili pigo hata moja.
Kwani kazi ya mwanadamu kila mara ni kwa ajili yake mwenyewe, na sio kwa ajili ya wengine.
Mungu ni mkuu na mwenye heshima milele,
na mwanadamu, milele wa chini na asiye na thamani yoyote.
Kwani Mungu anajitolea milele Yeye Mwenyewe kwa mwanadamu,
ilhali mwanadamu milele anachukua na kujifanyia kazi mwenyewe.
Mwanadamu ni mchoyo milele, Mungu ni mkarimu milele.
Mungu ni chanzo cha haki yote, mazuri, na ya kupendeza,
ilhali mwanadamu ni mrithi na mwenye kuonyesha ubaya wote na uovu.
Kiini cha Mungu chenye haki na cha kupendeza hakitawahi kubadilika kamwe.
Mungu ni mkuu na mwenye heshima milele,
na mwanadamu, milele wa chini na asiye na thamani yoyote.
Kwani Mungu anajitolea milele Yeye Mwenyewe kwa mwanadamu,
ilhali mwanadamu milele anachukua na kujifanyia kazi mwenyewe.
Mungu milele Anafanya kazi kwa ajili ya kuishi kwa binadamu,
ilhali mwanadamu hatoi chochote kamwe kwa mwangaza ama haki.
Na mwanadamu anaweza kufanya kazi kwa muda, lakini hawezi kustahimili pigo moja,
kwa sababu mwanadamu kila mara anajifanyia mwenyewe.
Mungu ni mkuu na mwenye heshima milele,
na mwanadamu, milele wa chini na asiye na thamani yoyote.
Kiini cha Mungu chenye haki na cha kupendeza hakitawahi kubadilika kamwe,
Hatawahi kamwe kubadilisha kiini Alicho nacho.
Ilhali wakati wowote ama mahali popote mwanadamu anaweza kugeuka
kutoka kwa haki, na kupotea mbali na Mungu.
kutoka kwa "Ni Muhimu Sana Kuelewa Tabia ya Mungu" katika Neno Laonekana katika Mwili
Tazama Video: Wimbo wa Injili 2018 | “Matendo Ya Mungu Yanajaza Ulimwengu Mzima Tupu” | Sifu Matendo ya Ajabu ya Mungu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni