8/07/2019

“Fichua Siri Kuhusu Biblia” – Ni Vipi Kuna Makosa Ndani ya Biblia? | Clip 5/6



“Fichua Siri Kuhusu Biblia” – Ni Vipi Kuna Makosa Ndani ya Biblia? | Swahili Gospel Movie Clip 5/6

Watu wengi wanaamini kwamba Biblia yote imetiwa msukumo na Mungu, kwamba imetoka kabisa kwa Roho Mtakatifu, na kwamba hakuna hata neno moja lililo na kosa. Je, mtazamo wa aina hii unawiana na ukweli? Biblia iliandikwa na waandishi zaidi ya 40, yaliyomo yaliandikwa na kupangwa na mwanadamu, na haikufunuliwa moja kwa moja na Roho Mtakatifu. Ilikuwa vigumu kuepuka kuingiza mawazo na makosa ya mwanadamu wakati ambapo ilikuwa ikiandikwa na kupangwa na mwanadamu.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni