Furaha katika Nchi Nzuri ya Kanaani
Nimerudi kwa familia ya Mungu, mchangamfu na mwenye furaha.
Mikono yangu imemshika mpendwa wangu, moyo wangu ni miliki Yake.
Japo nimepitia Bonde la Machozi, nimeyaona mapenzi ya Mungu.
Mapenzi yangu kwa Mungu hukua siku baada ya siku, Mungu ndiye chanzo cha furaha yangu.
Nikiduwazwa na uzuri wa Mungu, moyo wangu umeshikizwa kwa Mungu.
Siwezi kumpenda Mungu vya kutosha, nyimbo za sifa huchemka moyoni mwangu.
Nikiduwazwa na uzuri wa Mungu, nyimbo za sifa huchemka moyoni mwangu.
Siwezi kumpenda Mungu vya kutosha, nyimbo za sifa huchemka moyoni mwangu.