Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Joka-Kubwa-Jekundu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Joka-Kubwa-Jekundu. Onyesha machapisho yote

6/28/2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Sura ya 13

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Sura ya 13

      Mwenyezi Mungu alisema, Mungu anachukia urithi wote wa joka kubwa jekundu, na Hulichukia joka kubwa jekundu hata zaidi. Huu ni mzizi wa ghadhabu iliyo ndani ya moyo wa Mungu. Inaonekana kwamba Mungu anataka kutupa vitu vyote ambavyo ni mali ya joka kubwa jekundu ndani ya ziwa la moto wa jahanamu kuviteketeza kabisa. Kuna nyakati ambazo hata inaonekana kwamba Mungu anataka kuunyosha mkono Wake kuliangamiza binafsi—hilo tu ndilo lingeweza kufuta chuki iliyo ndani ya moyo Wake.