Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kazi-Yake-ya-Ukombozi. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kazi-Yake-ya-Ukombozi. Onyesha machapisho yote

3/29/2018

“Bwana Wangu Ni Nani” – Ni Wale Tu Wanaofuata Nyayo za Mungu Ndio Wanaweza Kufikia Njia ya Uzima wa Milele | Filamu za Injili (Movie Clip 5/5))πŸŽ¬πŸ‘

😊😊😊😊~~~~~~**~~~~~~πŸŽ‰πŸŽ‰πŸŽ‰πŸŽ‰~~~~~~**~~~~~~πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘

“Bwana Wangu Ni Nani” – Ni Wale Tu Wanaofuata Nyayo za Mungu Ndio Wanaweza Kufikia Njia ya Uzima wa Milele | Filamu za Injili (Movie Clip 5/5)


Watu wengi ambao wana imani katika Bwana wanaamini: Kwa kuwa Biblia ni rekodi ya neno la Mungu na ushuhuda wa mwanadamu na inaweza kutoa ujenzi mkuu wa maadili kwa mwanadamu, kusoma Biblia kunapaswa kutupa uzima wa milele. Lakini Bwana Yesu alisema, “Tafuteni katika maandiko; kwa kuwa ndani yake mnafikiri kuwa mnao uhai wa milele: na nashuhudiwa na hayo. Nanyi hamkuji kwangu, ili mpate uhai” (Yohana 5:39-40). Kwa nini Bwana Yesu alisema hakuna uzima wa milele katika Biblia? Tunapaswa kufanya nini ili tuweze kupata njia ya uzima wa milele?


Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake.