Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kuuelewa-Ukweli. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kuuelewa-Ukweli. Onyesha machapisho yote

10/02/2019

“Kumbukumbu Chungu” – Unamfahamu Paulo kwa Kweli? | Filamu za Kikristo (Movie Clip 3/5)

 


“Kumbukumbu Chungu” – Unamfahamu Paulo kwa Kweli? | Filamu za Kikristo (Movie Clip 3/5)


Kwa miaka elfu mbili, Paulo amekuwa kielelezo cha kufuatwa kwa wale wote wanaomsadiki Bwana. Lakini tunamfahamu Paulo kwa kweli? Tunajua kwa kweli ukweli wa Paulo uliofichwa wa yeye kufanya kazi kwa uangalifu na bidii nyingi kwa ajili ya Bwana? Asili ya Paulo ni ipi, na kiini chake ni kipi? Video hii fupi itatusaidia kumfahamu Paulo halisi!

Kunyakuliwa ni matumaini kila Mkristo. Lakini ni nini maana ya kweli ya kunyakuliwa katika Biblia? Tunawezaje kunyakuliwa? Sehemu ya unyakuzi itakupa majibu na kukuonyesha njia ya kunyakuliwa.

9/20/2019

"Mazungumzo" – Upingaji wa Ajabu wa Mkristo wa Mawazo ya Mchungaji wa Utatu | Swahili Christian Video Clip 5/6


"Mazungumzo" – Upingaji wa Ajabu wa Mkristo wa Mawazo ya Mchungaji wa Utatu | Swahili Christian Video Clip 5/6


CCP kinamkaribisha mchungaji na Kanisa la Utatu kujaribu kumtia kasumba na kumbadilisha Mkristo mmoja. Huyu Mkristo na mchungaji wanafungua mjadala mzuri katika kukabiliana na dhana zilizotolewa na mchungaji wa Utatu. Je, Mkristo huyu atampingaje huyu mchungaji? Kwa nini jaribio hili la CCP katika kutia kasumba na ubadilishaji utaishia kushindwa?

Zaidi: 1. Ni jinsi gani mtu anafaa kuitambua sauti ya Mungu? Je, mtu anawezaje kuthibitisha kwamba Mwenyezi Mungu kweli ni Bwana Yesu aliyerudi?

9/19/2019

"Mazungumzo" – Kuitii Serikali Inayotawala Sio Sawa na Kumtii Mungu | Swahili Christian Video Clip 4/6




"Mazungumzo" – Kuitii Serikali Inayotawala Sio Sawa na Kumtii Mungu | Swahili Christian Video Clip 4/6


Ili kumdanganya na kumjaribu Mkristo mmoja kumtelekeza Mungu, CCP kilimwita mchungaji mmoja wa Kanisa la Utatu kumtia kasumba, na Mkristo huyu na mchungaji wakazua mjadala mzuri juu ya maneno ya Paulo: "Acha kila nafsi itii mamlaka ya juu zaidi. Kwani hakuna mamlaka isipokuwa ya Mungu: mamlaka yaliyoko yameamriwa na Mungu" (Warumi 13:1). Fasiri zao tofauti ni zipi za maneno haya? Mchungaji wa Utatu yuko chini ya CCP na huchukua njia ya Kanisa la Utatu—kwa kweli ni kusudi gani la siri liko hapo? Mkristo atakanaje hoja hii ya mchungaji "kuwa chini ya mamlaka ya juu"?


Iliyotazamwa Mara Nyingi: Filamu za Kikristo | "Mazungumzo" | Christian Testimony of Overcoming Satan

9/15/2019

"Mazungumzo" – Kwa nini CCP Huwafuatia na Kuwakandamiza Wakristo Sana? | Swahili Christian Video Clip 1/6



"Mazungumzo" – Kwa nini CCP Huwafuatia na Kuwakandamiza Wakristo Sana? | Swahili Christian Video Clip 1/6


Katiba ya China hutamka kwa dhahiri uhuru wa dini, lakini kisirisiri, serikali hutumia rasilimali nyingi mno za binadamu na za kifedha kwa kuikandamiza imani ya dini na kuwatesa Wakristo kikatili. Hata hawajaacha kununua vifaa vya hali ya juu zaidi kuwafuatia, kuwafuma, na kuwakamata Wakristo. Serikali ya China imewanyang'anya raia wake haki ya uhuru wa imani na imewanyima kwa utundu haki ya kuishi. Kwa hiyo kwa kweli ni nini sababu na lengo la CCP kufanya yote haya?

9/13/2019

“Kupita Katika Mtego” – Je, Kuamini katika Biblia Kunaweza Kuwakilisha Kumwamini Mungu? | Filamu za Injili (Movie Clip 3/7)



“Kupita Katika Mtego” – Je, Kuamini katika Biblia Kunaweza Kuwakilisha Kumwamini Mungu? | Filamu za Injili (Movie Clip 3/7)


Wachungaji na wazee wa ulimwengu wa dini hushikilia maneno ya Paulo katika Biblia yanayosema "Maandiko yote yametolewa kwa msukumo wa Mungu," wakiamini kwamba Biblia ni maneno ya Mungu kabisa na kufanya yote wanayoweza kuiinua Biblia na kuishuhudia, na kuifanya Biblia na Mungu kuwa visawe. Wanaamini kwamba Biblia inamwakilisha Bwana na kwamba imani katika Bwana ni imani katika Biblia. Je, Biblia nzima kweli imetolewa kwa msukumo wa Mungu? Je, Bwana, Mungu, yuko ndani ya Biblia? Je, ni kazi ya Mungu ambayo imetoa Biblia, au Biblia ambayo imetoa kazi ya Mungu? Je, Biblia inaweza kweli kumwakilisha Bwana? Video hii fupi itakuonyesha njia sahihi.

Zaidi: Maneno ya Roho Mtakatifu | "Je, Wewe Ni Muumini wa Kweli wa Mungu?"

9/10/2019

Swahili Christian Skit "Mipaka ya Meya wa Kijiji" | Why Is There No Religious Freedom in China?



Swahili Christian Skit "Mipaka ya Meya wa Kijiji" | Why Is There No Religious Freedom in China?


Mchezo mfupi Mipaka ya Meya wa Kijiji inaeleza hadithi ya kweli ya mume na mke Wakristo ambao wanalazimishwa kutoroka kwa sababu ya mateso ya serilaki ya CCP.

Mkristo Liu Ming'en anahukumiwa na CCP miaka saba gerezani kwa kuamini katika Mungu. Hata baada ya kuachiliwa kutoka gerezani, anabakia kuwa wakulengwa na uchunguzi mkali wa CCP. Meya wa kijiji anatumia mfumo wa wajibu wa kaya-tano , kamera za usalama, ziara za nyumba, na njia nyingine kumzuia Liu Ming'en na mkewe kuamini katika Mungu, lakini hakuna inayoleta na matokeo yanayotakiwa.

8/24/2019

“Kupita Katika Mtego” – Kwa nini Chama cha Kikomunisti cha China Kinalitesa Kanisa la Mwenyezi Mungu | Filamu za Injili (Movie Clip 6/7)



“Kupita Katika Mtego” – Kwa nini Chama cha Kikomunisti cha China Kinalitesa Kanisa la Mwenyezi Mungu | Filamu za Injili (Movie Clip 6/7)


Chama cha Kikomunisti cha China ni serikali ya kishetani ambayo huchukia ukweli na Mungu. Kinajua kwamba Mwenyezi Mungu peke Yake katika ulimwengu ndiye Anayeweza kuonyesha ukweli. Mwenyezi Mungu yuko katika mchakato wa kufanya kazi ya wokovu wa siku za mwisho. Neno la Mwenyezi Mungu likienezwa kati ya watu, wale wote wanaopenda ukweli watarejea kwa Mwenyezi Mungu. Uso wa kishetani wa Chama cha Kikomunisti cha China, uso wake wa kweli, ambao huchukia ukweli na kumpinga Mungu utafunuliwa.