Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Vita-vya-Kiroho. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Vita-vya-Kiroho. Onyesha machapisho yote

9/17/2019

"Mazungumzo" – Upingaji wa Wakristo wa Kushangaza kwa Uvumi na Kashfa za CCP | Swahili Christian Video Clip 3/6



"Mazungumzo" – Upingaji wa Wakristo wa Kushangaza kwa Uvumi na Kashfa za CCP | Swahili Christian Video Clip 3/6


Ili kuwadanganya Wakristo kumsaliti Mungu na kuiacha imani yao, CCP kimemsaliti Kristo wa siku za mwisho na Bwana Yesu hadharani, kikisema kuwa wote wawili ni watu wa kawaida na sio Mungu mwenye mwili. CCP kimewakashifu Wakristo kama wanaomwamini mtu tu na sio Mungu. Pia kimeeneza uvumi kwamba Kanisa la Mwenyezi Mungu liliundwa na mtu kwa kuwa tu mtu ambaye hutumiwa na Mungu ndiye anayeyaendesha mambo yote ya utawala ya kanisa. Kupata mwili kwa kweli ni nini? Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzwaje, na ni nani aliyelianzisha? Wakristo wanautumiaje ukweli na mambo ya hakika kukanusha uvumi na kashfa za umma ambazo CCP kinaeneza kuhusu Kristo na Kanisa la Mwenyezi Mungu?

Unaweza Pia Kupenda: 1. Ni jinsi gani mtu anafaa kuitambua sauti ya Mungu? Je, mtu anawezaje kuthibitisha kwamba Mwenyezi Mungu kweli ni Bwana Yesu aliyerudi?