Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Watu-wa-Ufalme. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Watu-wa-Ufalme. Onyesha machapisho yote

1/09/2018

Matamshi ya Mwenyezi Mungu, Maoni Wanayopaswa Kushikilia Waumini

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,Biblia
neno la mungu,biblia

Matamshi ya Mwenyezi Mungu, Maoni Wanayopaswa Kushikilia Waumini 

Ni kitu gani ambacho mwanadamu amepokea tangu alipomwamini Mungu mara ya kwanza? Umejua kitu gani kumhusu Mungu? Umebadilika kiasi gani kwa sababu ya imani yako kwa Mungu? Sasa mnajua nyote ya kwamba imani ya mwanadamu katika Mungu si kwa ajili ya wokovu wa roho na ustawi wa mwili tu, wala si kuimarisha maisha yake kwa njia ya upendo wa Mungu, na kadhalika. Kama ilivyo sasa, kama unampenda Mungu kwa ajili ya ustawi wa mwili au furaha ya muda, basi hata kama, mwishoni, upendo wako kwa Mungu utafikia kilele chake na wewe hutaulizia kitu chochote, upendo huu unaoutafuta ni upendo mchafu na haumpendezi Mungu.