10/08/2017

Mbingu Mpya na Nchi Mpya | Tamthilia ya Jukwaa "Kwaya ya Injili ya Kichina 13"


 Kanisa la Mwenyezi Mungu| Tamthilia ya Jukwaa "Tamasha la Kwaya ya Kichina 13"

1. WANADAMU WAMEUPATA TENA UTAKATIFU WAO WALIOKUWA NAO AWALI

La … la … la … la …

Wakati huu wa shangwe, wakati huu wa nderemo (du ba du ba), haki ya Mungu na utakatifu wa Mungu vimeenda ugenini kote ulimwenguni (ba ba ba …), na binadamu wote wanavisifu bila kikomo. (Du … ba … ba la ba ba) Miji ya mbingu inacheka kwa furaha (du ba du ba), na falme za nchi zinacheza kwa shangwe (Ba ba ba …) Ni nani wakati huu ambaye haonyeshi furaha? Na ni nani wakati huu ambaye halii? (Du … ba … ba la ba ba) Nchi ni miliki ya mbingu, na mbingu imeungana na nchi. Mwanadamu ni ugwe unaounganisha mbingu na nchi, na kwa sababu ya utakatifu wake, kwa sababu ya mwanadamu kufanywa upya, mbingu haijafichwa tena kwa nchi, na nchi haiko kimya tena kwa mbingu. (Da la … da la da … oh …) Nyuso za ubinadamu zimezingirwa na, zimezingirwa na tabasamu za shukurani, na nyoyo zao zinadondokwa na utamu usiokuwa na kifani, utamu usiokuwa na kifani. (Da la … da la da da da la da) Mwanadamu hagombani na mwanadamu (beng …), wala binadamu kupigana wenyewe kwa wenyewe. (Beng …) Kunao wale ambao, katika mwanga wa Mungu, hawaishi kwa furaha na wenzao? Kunao wale ambao, katika siku za Mungu, hufedhehesha jina Lake?

Binadamu wote huelekeza angazo lao la heshima kwa Mungu (du ba du ba), na kwa siri katika nyoyo zao humlilia Yeye. (Ba la ba ba) Mungu amechunguza kila kitendo cha ubinadamu (du … ba … ba la ba ba): miongoni mwa wanadamu waliotakaswa (du ba du ba), hakuna yeyote aliye mkaidi kwa Mungu (ba la ba ba), hakuna anayeielekeza hukumu Kwake. Ubinadamu wote umejawa na tabia ya Mungu. Da la … da la da da da la da Kila mtu anakuja kumjua Mungu, anajongea Kwake, na anamwabudu Yeye, anamwabudu Yeye. (Ba … ba la ba ba) Mungu hushikilia msimamo katika roho ya mwanadamu (ba … ba la ba ba), Ametukuzwa kwa kiwango cha juu zaidi kwa macho ya mwanadamu, na hububujika katika damu ya mishipa yake. Nderemo za furaha, nderemo za furaha katika nyoyo za wanadamu (na …) huenea kila sehemu (na …) ya uso wa nchi (na …), hewa ni ya kuchangamsha na bichi (na …), ukungu mzito hauitandai ardhi tena (na …), na jua linaangaza kwa fahari, jua linaangaza kwa fahari. hewa ni ya kuchangamsha na bichi (na …), ukungu mzito hauitandai ardhi tena (na …), na jua linaangaza kwa fahari, jua linaangaza kwa fahari.

La … La … La … la … la … La … La … La … la … la …

kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili

2. Nderemo za furaha (aha), Nderemo za furaha (ah …) katika nyoyo za wanadamu huenea kila sehemu (oh …) juu ya uso wa nchi (oh …), hewa ni ya kuchangamsha na bichi (ah …), ukungu mzito hauitandai ardhi tena (na ah…), na jua linaangaza kwa fahari, jua linaangaza kwa fahari.

Wakati huu wa shangwe, wakati huu wa nderemo, haki ya Mungu na utakatifu wa Mungu (aha) vimeenda ugenini kote ulimwenguni (oh …), na binadamu wote (binadamu wote) na binadamu wote wanavisifu bila kikomo (na binadamu wote wanavisifu bila kikomo), binadamu wote wanavisifu bila kikomo. (Ah ha …) Miji ya mbingu inacheka kwa furaha, na falme za nchi zinacheza kwa shangwe. Ni nani wakati huu ambaye haonyeshi furaha? Na ni nani wakati huu ambaye halii? (Yee yaa) Nchi ni miliki ya mbingu, na mbingu imeungana na nchi. (Aha) Mwanadamu ni ugwe unaounganisha mbingu na nchi (ha), na kwa sababu ya utakatifu wake, kwa mwanadamu sababu ya kufanywa kwake upya, mbingu haijafichwa tena kwa nchi,na nchi haiko kimya tena kwa mbingu.

Nyuso za ubinadamu zimezingirwa na tabasamu za shukurani, zimezingirwa na tabasamu za shukurani. Na kudondokwa (kudondokwa) katika nyoyo zao ni utamu usiokuwa na kifani (utamu usiokuwa na kifani). Mwanadamu hagombani na mwanadamu, wala binadamu kupigana wenyewe kwa wenyewe (wala binadamu kupigana wenyewe kwa wenyewe). Kunao wale ambao, katika mwanga wa Mungu, hawaishi kwa furaha na wenzao? Kunao wale ambao, katika siku za Mungu, hufedhehesha jina Lake? (Yee ya) Nchi ni miliki ya mbingu, na mbingu imeungana na nchi. (Aha) Mwanadamu ni ugwe unaounganisha mbingu na nchi (ha), na kwa sababu ya utakatifu wake, kwa sababu ya mwanadamu kufanywa upya, mbingu haijafichwa tena kwa nchi, na nchi haiko kimya tena kwa mbingu. Nyuso za ubinadamu zimezingirwa na tabasamu za shukurani, zimezingirwa na tabasamu za shukurani.

Nderemo za furaha (aha), nderemo za furaha (oh …) katika nyoyo za wanadamu huenea kila sehemu (oh …) juu ya uso wa nchi (oh …), hewa ni ya kuchangamsha na bichi (oh …), ukungu mzito hauitandi ardhi tena (ee …), na jua linaangaza kwa fahari, na jua linaangaza kwa fahari. Nderemo za furaha, nderemo za furaha katika nyoyo za wanadamu huenea kila sehemu ya uso wa nchi, hewa ni ya kuchangamsha na bichi, ukungu mzito hauitandi ardhi tena, na jua linaangaza kwa fahari, jua linaangaza kwa fahari. na jua linaangaza kwa fahari, jua linaangaza kwa fahari.

La … la … la … la … La … la … la … la … Nderemo za furaha, nderemo za furaha katika nyoyo za wanadamu. huenea kila sehemu ya uso wa nchi, hewa ni ya kuchangamsha na bichi, ukungu mzito hauitandi ardhi tena, na jua linaangaza kwa fahari, jua linaangaza kwa fahari. Hewa ni ya kuchangamsha na bichi, ukungu mzito hauitandi ardhi tena, na jua linaangaza kwa fahari, jua linaangaza kwa fahari. jua linaangaza kwa fahari.

kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili

Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Kauli Maalum: Uzalishaji huu wa video ulitengenezwa kama mradi usio wa faida na Kanisa la Mwenyezi Mungu. Wahusika wanaoonekana katika uzalishaji huu wanafanya kwa msingi wa kutotafuta faida, na hawajalipwa kwa njia yoyote. Video hii isisambazwe kwa mtu mwingine kwa minajili ya faida, na ni matumaini yetu kwamba kila mtu atashiriki kuigawa na kuisambaza hadharani. Wakati unapoisambaza, tafadhali sisitiza chanzo chake. Bila ridhaa ya Kanisa la Mwenyezi Mungu, hakuna shirika, kundi la kijamii, au mtu binafsi anayeweza kubadilisha au kuhudhurisha visivyo maudhui ya video hii.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni