8/26/2019

“Kupita Katika Mtego” – Mtu Anaweza Kuokolewa kwa Kumwamini Bwana Katika Dini? | Filamu za Injili (Movie Clip 4/7)



“Kupita Katika Mtego” – Mtu Anaweza Kuokolewa kwa Kumwamini Bwana Katika Dini? | Filamu za Injili (Movie Clip 4/7)


Ndani ya dini, kuna watu wengi ambao wanaamini kwamba, ingawa wachungaji na wazee wanashikilia mamlaka katika ulimwengu wa dini na kutembea njia ya Mafarisayo wafiki, ingawa wanakubali na kuwafuata wachungaji na wazee, wanaamini katika Bwana Yesu, si katika wachungaji na wazee, hivyo basi inawezaje kusemwa kuwa njia wanayoyotembea pia ni ile ya Mafarisayo? Je, mtu kweli hawezi kuokolewa kwa kumwamini Mungu ndani ya dini?

Soma Zaidi: Kuna tofauti ipi kati ya maisha ya kanisa katika Enzi ya neema na maisha ya kanisa katika Enzi ya Ufalme?

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni