Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Wokovu-na-Wokovu-Kamili. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Wokovu-na-Wokovu-Kamili. Onyesha machapisho yote

10/06/2019

“Wimbo wa Ushindi” – Washindi wanakuwa aje? | Swahili Gospel Movie Clip 3/7




“Wimbo wa Ushindi” – Washindi wanakuwa aje? | Swahili Gospel Movie Clip 3/7


Je, unajua historia ya uumbaji wa washindi 144,000 waliotabiriwa na Kitabu cha Ufunuo? Je, unaelewa umuhimu wa Mungu kuruhusu Chama Cha Kikomunisti cha China kutekeleza udhalimu wake wa hasira, ukandamizaji, na mateso ya watu waliochaguliwa na Mungu? Mwenyezi Mungu anasema, “Wale wanaoitwa washindi na Mungu ni wale ambao bado wanaweza kusimama kama mashahidi, wakidumisha imani yao, na ibada yao kwa Mungu wanapokuwa chini ya ushawishi wa Shetani na kuzingirwa na Shetani, hiyo ni, wanapokuwa katika nguvu za giza. 

10/03/2019

“Kumbukumbu Chungu” – Nini Hasa Ni Uhusiano Kati ya Kuokolewa na Kuingia kwenye Ufalme wa Mbinguni? | Filamu za Kikristo (Movie Clip 4/5)


“Kumbukumbu Chungu” – Nini Hasa Ni Uhusiano Kati ya Kuokolewa na Kuingia kwenye Ufalme wa Mbinguni? | Filamu za Kikristo (Movie Clip 4/5)


Watu wengi wanasadiki kwamba kwa kumsadiki Bwana Yesu dhambi zao zinasamehewa, kwamba wanaokolewa kupitia kwa imani, na zaidi kwamba pindi mtu anapookolewa anaokolewa milele, na pindi Bwana anaporudi ananyakuliwa na kuingia kwenye ufalme wa mbinguni! Ilhali Bwana Yesu alisema, "Si kila mtu aniitaye, Bwana, Bwana, ataingia katika ufalme wa mbinguni; ila yule atendaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni" (Mathayo 7:21). Watu hawa wanaomwita "Bwana, Bwana" wote ni watu ambao wameokolewa kupitia kwa imani yao katika Bwana, hivyo kwa nini si kila mmoja wao anaweza kuingia kwenye ufalme wa mbinguni? Ni nini kinachoendelea hapa? Ni nini hasa uhusiano kati ya kuokolewa na kuingia kwenye ufalme wa mbinguni?

Je, kuokolewa kwa neema ni sawa na kupokea wokovu kamili? Ni yepi masharti ya kupokea wokovu kamili? Tunakusanya baadhi ya maswali yanayoonyesha ukweli kuhusu wokovu na wokovu kamili.

9/28/2019

3. Ni lazima mtu atambue tofauti kati ya njia ya toba katika Enzi ya Neema na njia ya uzima wa milele katika siku za mwisho

VII. Ni Lazima Mtu Ashiriki kwa Dhahiri Kwamba ni Kile tu Ambacho Kristo wa Siku za Mwisho Analeta Kilicho Njia ya Uzima wa Milele


3. Ni lazima mtu atambue tofauti kati ya njia ya toba katika Enzi ya Neema na njia ya uzima wa milele katika siku za mwisho


Aya za Biblia za Kurejelea:

“Na iwapo mtu yeyote atayasikia maneno yangu, na asiyaamini, Mimi sitamhukumu: kwa kuwa mimi sikuja ili niihukumu dunia, bali kuiokoa dunia. Yeye ambaye ananikataa mimi, na hayakubali maneno yangu, ana yule ambaye anamhukumu: neno hilo ambalo nimelisema, ndilo hilo ambalo litamhukumu katika siku ya mwisho” (Yohana 12:47-48).

9/21/2019

“Kumbukumbu Chungu” – Uhusiano Kati ya Hukumu katika Siku za Mwisho na Kuingia kwenye Ufalme wa Mbinguni? | Filamu za Kikristo (Movie Clip 5/5)



“Kumbukumbu Chungu” – Uhusiano Kati ya Hukumu katika Siku za Mwisho na Kuingia kwenye Ufalme wa Mbinguni? | Filamu za Kikristo (Movie Clip 5/5)


Katika ulimwengu wa kidini, kunao wengi wanaosadiki kwamba mradi tu wanahifadhi jina la Bwana, kusadiki kabisa katika ahadi ya Bwana na kufanya kazi kwa uangalifu na bidii nyingi kwa ajili ya Bwana, wakati Atarudi wanaweza kunyakuliwa na kuingia kwenye ufalme wa mbinguni. Je, yeyote anaweza kuingia kwenye ufalme wa mbinguni kwa kumsadiki Bwana kwa njia hii? Ni nini kitatufanyikia kama tusipoikubali kazi ya hukumu ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho?

9/12/2019

2. Ni nini tofauti muhimu kati ya kuokolewa na wokovu?

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,Mwenyezi Mungu

VI. Ni Lazima Mtu Ashiriki kwa Dhahiri Kipengele cha Ukweli Kuhusu Tofauti Kati ya Kuokolewa Katika Enzi ya Neema na Wokovu katika Enzi ya Ufalme

2. Ni nini tofauti muhimu kati ya kuokolewa na wokovu?

Aya za Biblia za Kurejelea:
Hakika nawaambieni, Yeyote ambaye hutenda dhambi ni mtumishi wa dhambi. Na mtumishi haishi katika nyumba milele: lakini Mwana huishi milele” (Yohana 8:34-35).
Siye kila mmoja ambaye aliniambia, Bwana, Bwana, ataingia ufalme wa mbinguni, ila yeye atendaye mapenzi ya Baba yangu ambaye yuko mbinguni” (Mathayo 7:21).

9/08/2019

1. Kuokolewa ni nini? Wokovu ni nini?

VI. Ni Lazima Mtu Ashiriki kwa Dhahiri Kipengele cha Ukweli Kuhusu Tofauti Kati ya Kuokolewa Katika Enzi ya Neema na Wokovu katika Enzi ya Ufalme

1. Kuokolewa ni nini? Wokovu ni nini?

Aya za Biblia za Kurejelea:
Yule ambaye anaamini na kubatizwa ataokolewa; lakini yule ambaye haamini atahukumiwa” (Marko 16:16).
Kwa kuwa hii ni damu yangu ya agano jipya, ambayo inamwagwa kwa ajiki ya msamaha wa dhambi” (Mathayo 26:28).
Siye kila mmoja ambaye aliniambia, Bwana, Bwana, ataingia ufalme wa mbinguni, ila yeye atendaye mapenzi ya Baba yangu ambaye yuko mbinguni” (Mathayo 7:21).

8/26/2019

“Kupita Katika Mtego” – Mtu Anaweza Kuokolewa kwa Kumwamini Bwana Katika Dini? | Filamu za Injili (Movie Clip 4/7)



“Kupita Katika Mtego” – Mtu Anaweza Kuokolewa kwa Kumwamini Bwana Katika Dini? | Filamu za Injili (Movie Clip 4/7)


Ndani ya dini, kuna watu wengi ambao wanaamini kwamba, ingawa wachungaji na wazee wanashikilia mamlaka katika ulimwengu wa dini na kutembea njia ya Mafarisayo wafiki, ingawa wanakubali na kuwafuata wachungaji na wazee, wanaamini katika Bwana Yesu, si katika wachungaji na wazee, hivyo basi inawezaje kusemwa kuwa njia wanayoyotembea pia ni ile ya Mafarisayo? Je, mtu kweli hawezi kuokolewa kwa kumwamini Mungu ndani ya dini?

Soma Zaidi: Kuna tofauti ipi kati ya maisha ya kanisa katika Enzi ya neema na maisha ya kanisa katika Enzi ya Ufalme?