Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Fichua-Siri-Kuhusu -Biblia. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Fichua-Siri-Kuhusu -Biblia. Onyesha machapisho yote

9/21/2019

“Kumbukumbu Chungu” – Uhusiano Kati ya Hukumu katika Siku za Mwisho na Kuingia kwenye Ufalme wa Mbinguni? | Filamu za Kikristo (Movie Clip 5/5)



“Kumbukumbu Chungu” – Uhusiano Kati ya Hukumu katika Siku za Mwisho na Kuingia kwenye Ufalme wa Mbinguni? | Filamu za Kikristo (Movie Clip 5/5)


Katika ulimwengu wa kidini, kunao wengi wanaosadiki kwamba mradi tu wanahifadhi jina la Bwana, kusadiki kabisa katika ahadi ya Bwana na kufanya kazi kwa uangalifu na bidii nyingi kwa ajili ya Bwana, wakati Atarudi wanaweza kunyakuliwa na kuingia kwenye ufalme wa mbinguni. Je, yeyote anaweza kuingia kwenye ufalme wa mbinguni kwa kumsadiki Bwana kwa njia hii? Ni nini kitatufanyikia kama tusipoikubali kazi ya hukumu ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho?