Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kumkaribisha-Bwana. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kumkaribisha-Bwana. Onyesha machapisho yote

1/19/2018

Fungua Mlango na Kumkaribisha Bwana-Kwaya ya Injili ya Kichina Onyesho la 19

Ni Mungu Anayezungumza!

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,Kanisa
Maneno Yake yenye ari ya onyo kwa wanadamu ni mapole na ya amani. Maneno Yake ambayo huhukumu na kufichua dutu potovu ya watu yana utukufu na ghadhabu. Maneno Yake yamejaa mamlaka, nguvu, na yamejaa hekima. Yote ni ukweli, na uzima! Tumetambua sauti Yake na maneno Yake, tumeona kuonekana Kwake!