Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Watakaoadhibiwa. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Watakaoadhibiwa. Onyesha machapisho yote

1/13/2018

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | 32 Ni Watu wa Aina Gani Watakaoadhibiwa

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,hukumu

Matamshi ya Mwenyezi Mungu | 32  Ni Watu wa Aina Gani Watakaoadhibiwa

   Kukufuru na kashfa   Kukufuru na kashfa dhidi ya Mungu ni dhambi ambayo haitasamehewa kwa enzi hii na enzi ijayo na wale wanaofanya dhambi hii hawatazaliwa upya kamwe. Hili linamaanisha kwamba tabia ya Mungu haiwezi kuvumilia kosa la wanadamu. Watu wengine wanaweza kusema maneno yasiyofaa au maneno mabaya wakati hawaelewi, au wanapodanganywa, kuwekewa vikwazo, kudhibitiwa, au kukandamizwa na wengine. Lakini wanapokubali njia ya ukweli katika siku zijazo watajawa na majuto. Halafu wao hufanya matendo mazuri ya kutosha na wanaweza kupata mabadiliko na kufikia ufahamu, na kwa njia hii kosa lao la awali halitakumbukwa tena.