Ⅰ
Leo kwa sababu ya Mungu, pitia ugumu; kesho rithi baraka ya Mungu.
Kwa kusudi la kuona siku ambayo Mungu atapata utukufu,
Naweza kuacha ujana wangu na maisha yangu.
Ee! Upendo wa Mungu, unavutia moyo wangu.
Nahisi ugumu kumuacha Yeye. Nahisi ugumu kuwa mbali na Yeye.
Nitakunywa kikombe cha uchungu.