5/22/2018

Swahili Gospel Song "Sala ya Watu wa Mungu" | Kuishi katika Upendo wa Mungu


Watu wa Mungu wanainuliwa mbele ya kiti Chake cha Enzi,  
maombi mengi mioyoni mwao. 
Mungu huwabariki wote wanaorejea Kwake; 
wote wanaishi katika mwanga.
Omba Roho Mtakatifu alipe nuru neno la Mungu 
ili kwamba tujue kikamilifu mapenzi ya Mungu.
Tunaomba watu wote walitunze sana neno la Mungu 
na waje kutafuta kumjua Mungu.
Tunaomba Mungu atupe zaidi ya neema Yake, 
ili tabia zetu ziweze kubadilika.
Tunaomba Mungu atufanye wakamilifu 
ili tuwe moyo na mawazo moja pamoja na Yeye.
Tunaomba Mungu atufundishe nidhamu 
ili tuweze kutimiza wajibu wetu Kwake.
Tunaomba Roho Mtakatifu kila siku atuongoze 
kuhubiri na kumshuhudia Mungu.

Tunaomba watu wote wajue tofauti ya mema na mabaya, 
wauweke ukweli katika vitendo.
Tunaomba Mungu awaadhibu watenda maovu 
na kanisa Lake lisisumbuliwe.
Tunaomba watu wote watoe upendo wa kweli kwa Mungu 
wa kupendeza na mtamu sana.
Tunaomba Mungu aondoe pingamizi yote 
ili tuweze kutoa vyetu vyote kwa Mungu.
Tunaomba Mungu aiweke mioyo yetu ikimpenda Mungu, 
isimwache Mungu.
Tunaomba wale walioamuliwa kabla na Mungu 
warudi katika uwepo Wake.
Tunaomba watu wote waimbe sifa zao kwa Mungu 
ambaye amefikia utukufu.
Tunaomba Mungu awe na watu Wake, 
atuweke tuendelee kuishi katika upendo wa Mungu.

  Umeme wa MasharikiKanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni