6/12/2019

“Kupita Katika Mtego” – Kwa nini Wachungaji na Wazee Wanalihukumu Umeme wa Mashariki | Clip 7


 “Kupita Katika Mtego” – Kwa nini Wachungaji na Wazee Wanalihukumu Umeme wa Mashariki | Filamu za Injili  (Movie Clip 7/7)


Kwa nini wachungaji na wazee wa ulimwengu wa dini wanakataa na kumhukumu Mwenyezi Mungu? Ni kwa sababu wanachukia, ni wenye uhasama na hawawezi kukubali ukweli ambao Mwenyezi Mungu mwenye mwili huonyesha. Hii ndio maana wanamkataa, wanamhukumu na kumpinga Kristo. Hii inafunua kiini cha shetani walicho nacho ambacho kinachukia ukweli. Ukweli ambao Kristo anaonyesha ni wa nguvu kubwa na wenye mamlaka. Unaweza kuamsha na kuokoa jamii ya binadamu na vilevile kusababisha watu kujinasua kutoka kwa nguvu zote za Shetani na kumrudia Mungu. Ndiyo sababu, ili kulinda umaarufu wao wenyewe, faida na hadhi, viongozi wa ulimwengu wa kidini humpiga Kristo misumari msalabani tena. Huu ndio ukweli wa kweli na kiini kuhusu jinsi viongozi wa ulimwengu wa kidini wanamtumikia Mungu na bado wanamkataa Mungu wakati huo huo.

Video Husika: Filamu za Kikristo "Wokovu" | Does Forgiveness of Sins Mean Full Salvation?

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni