Watu duniani watakubali kushindwa na Mungu, watiifu kama malaika walivyo,bila kutaka kupinga ama kuasi; hii ni kazi ya Mungu katika ulimwengu mzima.
I
Mungu amekuwa na mwanadamu kwa miaka, hakuna ambaye amekuwa na ufahamu,
hakuna yule ambaye amemjua Yeye; sasa maneno ya Mugu yanawaambia Yeye yuko hapa.