Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya. Onyesha machapisho yote

1/19/2019

Nyimbo za injili | Kazi ya Mungu Inaendelea Kuboreshwa

Nyimbo za injili | Kazi ya Mungu Inaendelea Kuboreshwa

I
Kazi ya Mungu inaendelea kuwa bora;
ingawa kusudi linabaki bila kubadilika,
mbinu ya kazi Yake inabadilika kila wakati,
na hivyo pia wale wanaomfuata.
Kadiri ambavyo Mungu anafanya kazi zaidi,
ndivyo mwanadamu anavyojua zaidi, anavyomjua kikamilifu,
ndivyo tabia ya mwanadamu inavyobadilika zaidi
pamoja na kazi Yake ifaavyo.

1/09/2019

Ni Mungu tu Ana Njia ya Uzima

I
Njia ya uzima si kitu ambacho mtu yeyote anaweza kuwa nacho;
si kitu ambacho mtu yeyote anaweza kuipata kwa urahisi.
Kwani uzima unatoka tu kwa Mungu,
ni Mungu Mwenyewe pekee Aliye na kiini cha uzima,
ni Mungu pekee aliye na njia ya uzima.

12/20/2018

Maneno Ya Mungu Ni Ukweli Usiobadilika Milele


I
Maneno ya Mungu ni ukweli, yasiobadilika milele.
Mungu ndiye mtoaji wa uzima, na kiongozi pekee wa mwanadamu.
Thamani na maana ya maneno Yake yanabainishwa na kiini chao,
sio kama mwanadamu anayakubali ama kuyatambua.
Hata kama hakuna mwanadamu ulimwenguni anayepokea maneno Yake,
thamani yao na usaidizi kwa mwanadamu hayapimiki.

12/18/2018

Upendo na Kiini cha Mungu ni Vikarimu

Mungu anatoa kilicho bora zaidi, Anatoa upande Wake ulio mzuri.
Vitu vizuri, vitu vizuri zaidi, Anatoa.
I
Bila kufichua ama kuonyesha kuteseka Kwake.
Mungu, Anavumilia, Akingoja kwa kimya.
Sio baridi ama Aliyeganda, sio dalili ya unyonge.
Kiini cha Mungu na upendo Wake ni mkarimu kila wakati.

12/14/2018

Nyimbo za kanisa | Kanuni za Kutafuta Njia ya Kweli

Nyimbo za kanisa | Kanuni za Kutafuta Njia ya Kweli

I
Ni kanuni gani za msingi zinazoonyesha njia ya kweli?
Ona kama Roho anafanya kazi, kwa ukweli unaonyeshwa;
ona ni nani anayeshuhudiwa, na anakuletea nini.
Kwani imani kwa Mungu inamaanisha imani kwa Roho wa Mungu.

11/27/2018

Jinsi ya Kujua Kuonekana na Kazi ya Kristo wa Siku za Mwisho

I
Kupata mwili kwa Mungu kutachukua kiini na maonyesho ya Mungu.
Na Atakapofanywa kuwa mwili Ataleta kazi ambayo Amepewa
ili kuonyesha kile Alicho, kuleta ukweli kwa wanadamu wote,
kuwapa uzima na kuwaonyesha njia.
Mwili wowote usiokuwa na kiini Chake hakika sio Mungu mwenye mwili.

11/22/2018

Baraka Kuu Zaidi Ambayo Mungu Anaweka Juu Ya Mwanadamu

I
Kwa sababu ya kutimika kwa maneno ya Mungu, ufalme unapata umbo.
Kwa sababu ya mwanadamu kurudi kuwa kawaida, ufalme wa Mungu uko hapa.
Watu wa Mungu katika ufalme, mtapata tena uzima uliokusudiwa binadamu.

11/18/2018

Kiini cha Kristo Ni Mungu

I
Mungu anayekuwa mwili anaitwa Kristo,
hivyo Kristo anayeweza kuwapa watu ukweli anaitwa Mungu.
Si kupita kiasi kusema hivyo.
Kwani Ana kiini cha Mungu.
Ana tabia ya Mungu na hekima katika kazi Yake,
ambayo haifikiwi na mwanadamu.

11/14/2018

Jina la Mungu Linatukuzwa Kati ya Mataifa

I
Kusudi la hukumu ya Mungu ni kuhimiza utiifu wa mwanadamu;
kusudi la adabu ya Mungu ni kuruhusu mbadiliko wa mwanadamu.
Ingawa kazi ya Mungu ni kwa ajili ya usimamizi Wake,
hakuna kitu Anachofanya kisicho kizuri kwa mwanadamu.

10/25/2018

Katika Enzi ya Ufalme, Neno Linatimiza Kila Kitu

I
Katika Enzi ya Ufalme, Mungu anaikaribisha enzi mpya na neno.
Anabadilisha mbinu ya kazi Yake, anafanya kazi ya enzi nzima na neno.
Hii ni kanuni ambayo Mungu anafanya kazi nayo katika Enzi ya Neno.
Alikuwa mwili ili kunena kutoka sehemu tofauti,
hivyo mwanadamu kweli anamwona Mungu, Neno likionekana katika mwili,
anaona ajabu Yake, na anaona hekima Yake.

10/17/2018

Nyimbo za Kanisa | Umuhumi wa Maombi

Nyimbo za Kanisa | Umuhumi wa Maombi

I
Maombi ni njia moja ya mwanadamu kishirikiana na Mungu,
kuita Roho Wake na kuguswa na Mungu.
Kadiri unavyoomba zaidi, ndivyo utakavyoguswa zaidi, kutiwa nuru na kuwa na mawazo ya nguvu zaidi.
Watu kama hao wanaweza kufanywa kamili hivi karibuni.
Kadiri unavyoomba zaidi, ndivyo utakavyoguswa zaidi, kutiwa nuru na kuwa na mawazo ya nguvu zaidi.

10/15/2018

Kuwa Mtu Mpya na Uuliwaze Moyo wa Mungu

I
Umeona ndani ya moyo wangu, kiburi kilichoje ndani yangu.
Nafikiri kuwa mimi ni mzuri sana na kila kitu ni duni kwangu.
Mkuu na mwenye majivuno, asili yangu ni ngumu kutupa.
Zaidi ya kudharau, mimi ni mdogo. Binadamu wamepotea. Oo, binadamu wamepotea.
Maneno Yako yanauyeyusha moyo wangu. Mbele Yako nimekuja.

10/13/2018

Siwezi Kusema Yote Yaliyo Moyoni Mwangu

I
Leo nimekutana na Wewe, matumaini yangu yote yametimia.
Nimefurahia utajiri wote katika kumbatio Lako la upendo na ukunjufu.
Moyo Wako hakika ni mzuri sana, upendo Wako unanivutia.
Kile Ulicho nacho na kile Ulicho, ni vya thamani sana kwangu.
Siwezi kuelezea, hakuna maneno:
Jinsi gani anavyopendeza Mwenyezi Mungu!

10/05/2018

Msifuni Mwenyezi Mungu | Umo Moyoni Mwangu

Msifuni Mwenyezi Mungu  | Umo Moyoni Mwangu
I
Ninapotenda wajibu wangu mbali na nyumbani,
nawaza kukuhusu, na ninakuomba.
Kupitia kusoma maneno Yako,
nimekuja kukuamini zaidi na moyo wangu unapozwa, oo.
Kukushuhudia Wewe, ninapitia machungu mengi,
na najua hata vizuri zaidi jinsi Unavyopendeza.

10/03/2018

Hakuna Anayeweza Kufanya Kazi Badala Yake

Kazi ya Mungu hufanywa na Mungu Mwenyewe.
Ni Yeye ndiye Anayeianzisha kazi Yake, na ni Yeye anayeikamilisha.
Ni Yeye anayeipanga kazi.
Ni yeye ndiye anayeisimamia, na zaidi kuifanikisha kazi hiyo.
Ni kama ilivyosemwa katika Biblia,
“Mungu ndiye Mwanzo na Mwisho;

9/24/2018

Nina Furaha Sana Kupata Upendo wa Mungu

Ukweli wa Mungu ni njia ya milele ya uzima. Sijapotea tena nikiwa na ukweli.
Singeweza kujiondolea uovu ulio ndani yangu. 
Hukumu ya Mungu ilinifanya niwe mpya.
Nitajitoa mwenyewe kwa majaribu ya Mungu, ili Mungu aweze kuupata moyo wangu.
Ananitengeneza kuwa yule ambaye nafaa kuwa. Nimeokolewa sasa na neno Lake.

9/20/2018

Natamani Kuona Siku Ambayo Mungu Atapata Utukufu

Leo kwa sababu ya Mungu, pitia ugumu; kesho rithi baraka ya Mungu.
Kwa kusudi la kuona siku ambayo Mungu atapata utukufu,
Naweza kuacha ujana wangu na maisha yangu.
Ee! Upendo wa Mungu, unavutia moyo wangu.
Nahisi ugumu kumuacha Yeye. Nahisi ugumu kuwa mbali na Yeye.
Nitakunywa kikombe cha uchungu.

9/16/2018

Kumpenda Mungu ni Matamanio Yangu

Niliishi katika ulimwengu usio na tumaini, bila kujua ukweli.
Nilisoma neno la Mwenyezi na sasa najua maana ya maisha.
Ni ajabu kuu iliyoje, Kristo analeta mwanga ulimwenguni.
Kutoka kwa hukumu Yake nimepata njia ya uzima wa milele.
Nalithamini neno la Mungu, nauthamini ukweli wa Mungu.
Ukweli ni wa thamani iliyoje! Kuoshwa katika kisima cha Mungu cha uzima.

9/15/2018

Nyimbo za Kanisa | Nataka Kupenda Mungu Zaidi

Nyimbo za Kanisa | Nataka Kupenda Mungu Zaidi

Upendo wa Mungu unayeyusha moyo wangu, na kusafisha dhana zangu zenye makosa.
Nauelewa moyo Wake, upendo Wake ulio na nguvu.
Kuanzia sasa, nisilalamike tena kamwe; upendo wote uliopotea sasa umerejeshwa.
Mungu hunipa fadhila nyingi katika upendo; nataka kumpa maisha yangu.

9/13/2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Kwa Imani ya Kesho

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Kwa Imani ya Kesho

Mwenyezi Mungu mwenye haki! Matendo Yako ni ya ajabu.
Maneno Yako yanaonyesha uweza Wako, yakitushinda kabisa.
Mwenyezi Mungu mwenye haki! Mbele Yako twaja, kuona jinsi tulivyo wadeni.
Hatukufuata mapenzi Yako kamwe; mbele Yako tumejawa na aibu.
Lakini unatuonyesha kusudi la maisha.