Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo NYIMBO. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo NYIMBO. Onyesha machapisho yote

12/24/2018

Wimbo wa Maneno ya Mungu | Upendo Safi Bila Dosari


I
Upendo ni hisia safi, safi bila dosari.
Tumia moyo, tumia moyo,
kupenda, kuhisi, kutunza.
Upendo hauna masharti, vizuizi au kujitenga.
Tumia moyo, Tumia moyo,
kupenda, kuhisi, kutunza.
Ukipenda hudanganyi, hulalamiki, hugeuki,
hutazamii kupata kitu, cha malipo.
Ukipenda utajitolea, ukubali taabu,
kuwa kimoja, Mungu katika mapatano.

12/07/2018

Mamlaka na Nguvu za Mungu Vyafunuliwa katika Mwili

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,nyimbo


Wimbo wa Maneno ya Mungu | Mamlaka na Nguvu za Mungu Vyafunuliwa katika Mwili

I
Mungu alikuja duniani hasa kutimiza
ukweli wa "Neno kuwa mwili."
(tofauti na Agano la Kale, katika siku za Musa,
Mungu alizingumza moja kwa moja kutoka mbinguni).
Kisha, yote yatatimizwa
katika enzi ya Ufalme wa Milenia
kuwa ukweli ambao watu wanaweza kuona,
ili watu waweze kuona
utimizaji hasa kwa macho yao wenyewe.

11/21/2018

Mungu Hutumaini Mtu Anaweza Kumjua na Kumwelewa

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,nyimbo

I
Tangu uhusiano wa kwanza wa Mungu na mwanadamu,
Amekuwa akifichua kwao
Kiini Chake na vile Alivyo na Alicho nacho,
bila kukoma, kila wakati.
Kama watu katika enzi wanaweza kuona au kuelewa,
Mungu huzungumza na kufanya kazi
ili kuonyesha tabia Yake na kiini.

11/19/2018

Kusudi la Kazi ya Usimamizi ya Mungu ni Kumwokoa Binadamu

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,nyimbo
Upendo na huruma za Mungu
hupenyeza kazi Yake
ya usimamizi kwa utondoti.
I
Ikiwa mwanadamu ahisi mapenzi Yake ya huruma au la,
Yeye hachoki kufuatilia kazi Anayohitaji kufanya.
Ikiwa mwanadamu aelewa usimamizi Wake au la,
kazi Yake huleta usaidizi na utoaji unaoweza kuhisiwa na wote.

8/15/2018

Wimbo wa Uzoefu wa Maisha | Wimbo wa Kifuasi cha Dhati💞💞🎹

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Nyimbo


🎼🎼🎼🎼~~~~~~~~~~~~🎻🎻🎻~~~~~~~~~~~~🎵🎵🎵

I

Kuna Mmoja hapa, Yeye ni Mungu katika mwili. Anayoyasema, Anayoyafanya, yote ni ukweli. Hekima Yake, Uadilifu Wake, nayapenda yote. Kukutana Naye, kumpata Yeye, nimebarikiwa sana. Kuna Mmoja hapa, Yeye ni Mungu katika mwili. Anayoyasema, Anayoyafanya, yote ni ukweli. Hekima Yake, uadilifu Wake, nayapenda yote. Kukutana Naye, kumpata Yeye, nimebarikiwa sana. Moyo wake, Upendo wake, vimefanya nishindwe. Mpe upendo, mfuate Yeye, ah mpendwa wangu. Nampenda, najihisi mtamu, teseka kwa ajili Yake. Mpate, ishi kwa ajili Yake, mpende milele.

8/14/2018

Nyimbo za Kanisa la Mwenyezi Mungu | Maisha Yetu Sio Bure🎻🎤🎵

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Msifuni Mwenyezi Mungu


🎻🎻🎻*********************🎤🎤🎤********************🎵🎵🎵🎵

😇😇😇😇~~~~~~~~~~~~~~💓💓💓💓💓

Maisha yetu sio bure. Maisha yetu sio bure.
I
Leo tunakutana na Mungu, tunapitia kazi Yake. Tumemjua Mungu katika mwili, wa utendaji na wa hakika. Tumeiona kazi Yake, nzuri na ya ajabu. Kila siku ya maisha yetu sio bure. Tunamshuhudia Kristo kama ukweli na uzima! Kufahamu na kukumbatia fumbo hili. Nyayo zetu ziko katika njia ng’avu zaidi ya hadi katika uzima. Hatutafuti tena, yote yako wazi kwetu. Mungu, tutakupenda Wewe milele bila majuto. Tumepata ukweli, uzima wa milele tutapata. Maisha yetu sio bure, sio bure. Maisha yetu sio bure. Maisha yetu sio bure.

8/13/2018

Wimbo | Sauti ya Moyo ya Kiumbe Aliyeumbwa

Nyimbo, Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki



I
Nilitaka kulia lakini hakuna mahali palihisi sawa. Nilitaka kuimba lakini hakuna wimbo ulipatikana. Nilitaka kuonyesha upendo wa kiumbe aliyeumbwa. Nikitafuta juu na chini, lakini hakuna maneno yangeweza kusema, yangeweza kusema jinsi hasa ninavyohisi. Mungu wa vitendo na wa kweli, upendo ndani ya moyo wangu. Nainua mikono yangu kwa sifa, ninafurahia kwamba Ulikuja katika dunia hii.

7/31/2018

Hatimaye Naweza Kumpenda Mungu



Mungu, upendo Wako ni wa kweli na safi. Moyo Wako ni mwaminifu na mkarimu.
Ulitupa sisi kila kitu Chako ili kulipa gharama kwa ajili ya kutuokoa sisi.
Nakupenda na kukutegemea Wewe. Natetemeka katika uwepo Wako.
Nilipitia majaribu na Wewe. Sitaki uondoke upande wangu.

7/25/2018

Wimbo | Njia Yote Pamoja na Wewe

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Msifuni Mwenyezi Mungu


I
Nilikuwa kama mashua, ikielea baharini. Ulinichagua, na mahali pazuri Uliniongoza. Sasa katika familia Yako, nikipewa joto na upendo Wako, nina amani kabisa. Unanibariki, Unatoa maneno Yako ya hukumu. Bado sijui jinsi ninavyokosa kuithamini neema Yako. Kila mara nikiasi, kwa namna fulani nikiuumiza moyo Wako. Na bado Hunitendei kulingana na dhambi zangu lakini Unafanya kazi kwa ajili ya wokovu wangu. Ninapokuwa mbali, Unaniita nirudi kutoka hatarini.

7/18/2018

Sifu Mungu | Wewe Tu Unaweza Kuniokoa Mimi🎼🎙️😇😇

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Nyimbo


Sifu Mungu | Wewe Tu Unaweza Kuniokoa Mimi

 I 
Mnyenyekevu na Uliyejificha, Waambatana na watu katika matatizo yao, Ukiwapa njia ya uzima wa milele. Unawapenda binadamu kama mwili Wako mwenyewe. Na Wastahili upendo wao. Afadhali Uteseke Mwenyewe, ili Umwezeshe mwanadamu apate faida. Na Wanyesha uzima juu yao. Moyo Wako unapendeza kweli, Wewe ni mwenye haki sana na Wastahili sifa ya mwanadamu. Maneno Yako yanitwaa. Hukumu Yako yanitakasa. Wewe pekee Waweza niokoa.

7/16/2018

Wimbo wa Maneno ya Mungu | Watu Wote Wanaishi Katika Mwanga wa Mungu🎼🎉👏

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Nyimbo za kanisa

I
Sasa kwa kushangilia sana,
utakatifu wa Mungu na haki
vinakua ulimwenguni kote,
ikitukuka sana kati ya wanadamu wote.
Miji ya mbinguni inacheka,
falme za dunia zinacheza.
Ni nani asiyesherehekea?
Ni nani asiyetoa machozi?
Wanadamu hawagombani wala kupigana makonde;

4/23/2018

Jinsi Upendo wa Mungu kwa Mwanadamu Ulivyo Muhimu

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,Upendo kwa Mungu

Umeme wa Mashariki | Wimbo wa Maneno ya Mungu

I
Mandhari iliyochorwa katika Biblia "Amri ya Mungu kwa Adamu"
ni ya kugusa na yenye kutia moyo.
Ingawa hiyo picha ina Mungu na mtu tu,
uhusiano kati ya hao wawili ni wa ndani sana
tunaanza kuhisi mshangao, mshangao na uvutiwaji.
II
Upendo wa Mungu unaofurika umepewa mwanadamu bure,
upendo wa Mungu umemzunguka.

3/06/2018

🎵🎼Umeme wa Mashariki | Maonyesho Kamili ya Mamlaka ya Muumba🎧😄

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki ,Nyimbo

Umeme wa Mashariki | Maonyesho Kamili ya Mamlaka ya Muumba

Kwa mamlaka ya Muumba, miujiza yaonekana,
ikiwa na mvuto kwa mwanadamu,
Mwanadamu hutazama kwa butwaa.
Nguvu Zake huleta furaha;
mwanadamu hustabishwa, kwa furaha tele.
Kwa kupendezwa na kushangaa, Yeye hushangilia.
Mwanadamu huguswa waziwazi;

2/23/2018

Umeme wa Mashariki | Wimbo wa Mapenzi Matamu

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,Nyimbo

Wimbo wa Uzoefu wa Maisha

Wimbo wa Mapenzi Matamu

I

Kinani mwa moyo wangu, ni mapenzi Yako.
Ni matamu sana, nakaa karibu yako.
Kukutunza hukoleza moyo wangu;
kukutumikia na mawazo yangu yote.
Kuongoza moyo wangu, ni mapenzi Yako;
mimi hufuata nyayo zako za mapenzi.
Mimi hujisogeza kulingana na macho Yako;

2/03/2018

Tukuzeni Ufanikishaji wa Kazi ya Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,Nyimbo

Wimbo wa Uzoefu wa Maisha

Tukuzeni Ufanikishaji wa Kazi ya Mungu

I
Kazi kubwa ya Mungu hubadilika haraka sana,
vigumu kuipima, kuridhisha kwa mtu.
Angalia kandokando yako, si kama awali,
kila kitu ni kizuri na kipya.
Kila kitu kimehuishwa, vyote vimetengenezwa upya,
vyote vimetakaswa.
Tunamsifu Mungu, tukijawa furaha,
nyimbo za sifa zinapepea mbinguni Kwake.

1/26/2018

007 Papa hapa, Hivi Sasa, Tuungane Pamoja | Umeme wa Mashariki

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,nyimbo

Umeme wa Mashariki | Wimbo wa Uzoefu wa Maisha

Papa hapa, Hivi Sasa, Tuungane Pamoja


I
Kwa kupendana, sisi ni familia. Ah … ah …
Papa hapa, hivi sasa, tunaungana;
kusanyiko la watu wampendao Mungu.
Bila upendeleo, tukishikizwa kwa karibu,
furaha na utamu vikijaza nyoyo zetu.
Jana tuliacha majuto na hatia; leo tunaelewana,
tunaishi katika upendo wa Mungu.

1/22/2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | 003 Zingatia Majaliwa ya Binadamu



Kanisa la Mwenyezi Mungu | Wimbo wa Maneno ya Mungu | Zingatia Majaliwa ya Binadamu

I
Mungu awahimiza makabila yote, mataifa na nyanja zote:
Sikizeni sauti Yake, muione kazi Yake;
mzingatie hatima ya wanadamu;
mfanye Mungu Mtakatifu na Mheshimiwakl, Mkuu na wa pekee wakuabudiwa,
ulimwengu wote, na wanadamu, waishi chini ya baraka Yake Mungu,
kama vizazi vya Ibrahimu, walivyoishi na ahadi ya Yehova,
kama viumbe vya Mungu, Adamu na Hawa, walivyoishi bustani Edeni.
Kazi ya Mungu ni kama mawimbi yavumayo hakuna wa kumzuia au kumsimamisha.

1/15/2018

002 Mungu Ameleta Utukufu Wake Mashariki

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,nyimbo

Wimbo wa Maneno ya MunguMungu Ameleta Utukufu Wake Mashariki 

I
Mungu aliipa Israeli utukufu Wake
kisha Akauhamisha mbali na pale,
na kuwaleta Waisraeli na kuwaleta watu wote Mashariki.
Mungu amewaelekeza wote kwenye mwanga
ili waweze kuungana tena na kuwa pamoja na mwanga,
wasilazimike kuutafuta tena, kuutafuta mwanga.

1/03/2018

Wimbo wa Uzoefu wa Maisha | Nitampenda Mungu Milele

Nyimbo, Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki


Wimbo wa Uzoefu wa Maisha | Nitampenda Mungu Milele

  I
 Ee Mungu! Maneno Yako yameniongoza kurudi Kwako.
Nakubali mafunzo katika ufalme Wako mchana na usiku.
Majaribio mengi na maumivu, mateso mengi sana.
Mara nyingi nilimwaga machozi na kuhisi huzuni,
na mara nyingi nimeanguka katika mtego wa Shetani.Lakini Hujawahi kuniacha.

12/14/2017

Umeme wa Mashariki | Wimbo wa Ufalme

Umeme wa Mashariki,Kanisa la Mwenyezi Mungu,Injili,

Umeme wa Mashariki | Wimbo wa Ufalme

Watu wanishangilia Mimi, watu wananisifu Mimi; midomo yote inataja Mungu mmoja wa kweli, watu wote wainua macho yao kutazama matendo Yangu. Ufalme washuka duniani, nafsi Yangu ni tajiri na yenye wingi. Ni nani hangesherehekea haya? Nani hangecheza kwa furaha kwa ajili ya haya? Ee, Sayuni! Inua bango lako la ushindi ili kunisherehekea Mimi! Imba wimbo wako wa ushindi na ueneze jina Langu takatifu! Vitu vyote duniani! Sasa mjitakase kwa kujitolea Kwangu. Nyota angani! Sasa rudini sehemu zenu na muonyeshe ukuu Wangu mbinguni!