Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Upendo-wa-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Upendo-wa-Mungu. Onyesha machapisho yote

11/19/2018

Kusudi la Kazi ya Usimamizi ya Mungu ni Kumwokoa Binadamu

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,nyimbo
Upendo na huruma za Mungu
hupenyeza kazi Yake
ya usimamizi kwa utondoti.
I
Ikiwa mwanadamu ahisi mapenzi Yake ya huruma au la,
Yeye hachoki kufuatilia kazi Anayohitaji kufanya.
Ikiwa mwanadamu aelewa usimamizi Wake au la,
kazi Yake huleta usaidizi na utoaji unaoweza kuhisiwa na wote.

10/07/2018

Kuuonja Upendo wa Mungu Katikati ya Dhiki

Kuuonja Upendo wa Mungu Katikati ya Dhiki

Chen Lu Wilaya ya Tonglu, Mkoa wa Zhejiang
Nilizaliwa miaka ya 1980 katika kijiji—tulikuwa tumekuwa familia ya wakulima kwa vizazi vingi. Nilijiingiza katika masomo yangu ili niweze kuhitimu kuingia katika chuo na kuepuka maisha ya kijijini ya umasikini na hali ya kuwa nyuma. Nilipoanza shule ya upili, nilikutana na Historia ya Sanaa ya Magharibi, na wakati nilipoona picha nyingi za kupendeza kama vile "Mwanzo," "Bustani ya Edeni," na "Mlo wa Mwisho," ni hapo tu nilipojua kwamba kulikuwa na Mungu katika ulimwengu aliyeumba vitu vyote. Sikuweza kujizuia kuwa na moyo uliojaa hamu ya Mungu.

10/01/2018

Kupitia kwa Majonzi Makuu, Nimevuna Faida Kubwa

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Kanisa
Rongguang   Mji wa Zhengzhou, Mkoa wa Henan
Baada ya kumfuata Mwenyezi Mungu, niliwekwa katika jela kwa sababu mimi niliamini katika Mungu. Wakati huo nilikuwa muumini mpya na Mungu alikuwa amenipa nguvu ili niweze shikilia msimamo katika ushahidi wangu. Hata hivyo, niliamini kimakosa kuwa nilikuwa na kimo; nilidhani kwamba nilikuwa na kiasi kikubwa cha imani, upendo na uaminifu kwa Mungu, kwa hiyo sikuzingatia hasa kula na kunywa maneno ya Mungu ya hukumu na kuadibu. Ingawa nilisoma, nililinganisha neno ambalo kwalo Mungu humfichua mtu na watu wengine na kujitenga mwenyewe kutoka kwa maneno ya kuhukumu ya Mungu.

9/24/2018

Nina Furaha Sana Kupata Upendo wa Mungu

Ukweli wa Mungu ni njia ya milele ya uzima. Sijapotea tena nikiwa na ukweli.
Singeweza kujiondolea uovu ulio ndani yangu. 
Hukumu ya Mungu ilinifanya niwe mpya.
Nitajitoa mwenyewe kwa majaribu ya Mungu, ili Mungu aweze kuupata moyo wangu.
Ananitengeneza kuwa yule ambaye nafaa kuwa. Nimeokolewa sasa na neno Lake.

9/18/2018

Waumini katika Mungu Wanapasa Kujiandaa kwa Ajili ya Hatima Yao kwa Matendo Mema ya Kutosha

Sura ya 7 Vipengele Vingine vya Ukweli Ambavyo Unafaa Kueleweka Katika Imani Yako kwa Mungu

7. Waumini katika Mungu Wanapasa Kujiandaa kwa Ajili ya Hatima Yao kwa Matendo Mema ya Kutosha

Maneno Husika ya Mungu:
Huruma Zangu zinaonyeshwa kwa wale wanaonipenda Mimi na kujinyima wenyewe. Na adhabu inayoletwa kwa waovu ni thibitisho hasa la tabia Yangu ya haki na, zaidi sana, ushuhuda wa hasira Yangu. Msiba utakapokuja, njaa na baa litawakumba wale wote wanaopinga Mimi na watalia kwa uchungu. Wale wote ambao wametenda aina zote za uovu, lakini ambao wamenifuata kwa miaka mingi, hawataepuka kulipia dhambi zao; wao pia, wakijipata katika maafa, ambayo yameonekana kwa nadra katika mamilioni ya miaka, wataishi katika hali ya kila siku ya taharuki na woga.

9/15/2018

Nyimbo za Kanisa | Nataka Kupenda Mungu Zaidi

Nyimbo za Kanisa | Nataka Kupenda Mungu Zaidi

Upendo wa Mungu unayeyusha moyo wangu, na kusafisha dhana zangu zenye makosa.
Nauelewa moyo Wake, upendo Wake ulio na nguvu.
Kuanzia sasa, nisilalamike tena kamwe; upendo wote uliopotea sasa umerejeshwa.
Mungu hunipa fadhila nyingi katika upendo; nataka kumpa maisha yangu.

9/08/2018

Adabu Takatifu Ambayo Waumini wa Mungu Wanapasa Kuwa Nayo

Sura ya 7 Vipengele Vingine vya Ukweli Ambavyo Unafaa Kueleweka Katika Imani Yako kwa Mungu

4. Adabu Takatifu Ambayo Waumini wa Mungu Wanapasa Kuwa Nayo

Maneno Husika ya Mungu:
Ni nini kinashirikishwa ndani ya ubinadamu wa kawaida? Utambuzi, hisia, dhamiri na tabia. Iwapo unaweza kufanikisha ukawaida katika kila mojawapo ya vipengele hivi, ubinadamu wako uko katika kiwango kinachostahili. Unapaswa kuwa na mfanano wa binadamu wa kawaida na utende kama anayemwamini Mungu. Sio lazima ufikie viwango vya juu zaidi au kujishughulisha na diplomasia. Unapaswa tu kuwa mwanadamu wa kawaida, na hisia za kawaida za mtu, uweze kung’amua vitu, na kwa kiwango cha chini uonekane kama mwanadamu wa kawaida.

9/06/2018

Hatimaye Nimemwona Mungu

Nilikuja katika uwepo Wako siku hiyo, moyo wangu ukiwa umejaa tamaa ya kina.
Macho yangu yalipojawa na machozi, mkono Wako ulinipapasa.
Majonzi na huzuni ulimwagika kutoka moyoni mwangu.
Maisha yangu ya awali yakipita mbele ya macho yangu; majonzi na uchungu vikigongana kwa kutanafusi.
Mungu, nakupa Wewe upendo wangu.

8/30/2018

Upendo wa Mungu Daima Unabaki Moyoni Mwangu

Katika safari yangu ya kumfuata Mungu, nimefurahia mapenzi Yake yote.
Maneno Yake na mahitaji Yake yote ni ulinzi na upendo Wake.
Katika wakati wangu wa udhaifu mkuu na majonzi, maneno ya Mungu yananihimiza kuendelea.
Kwa wakati wote ambao nimedhalilishwa, maneno Yake yananiinua tena kusimama.

8/27/2018

Swahili Christian Video "Mtoto, Rudi Nyumbani" | Hakuna Wokovu Ila Kupitia Kwa Bwana


Li Xinguang ni mwanafunzi wa shule ya upili ya ngazi ya juu. Alikuwa mvulana mwenye busara na mwenye tabia nzuri tangu alipokuwa mdogo. Wazazi wake na walimu wake walimpenda sana. Alipokuwa akienda katika shule ya kati, alipumbazwa na michezo ya kompyuta ya mtandaoni. Angekosa kwenda darasani mara kwa mara ili aende kwenye chumba cha mtandao. Wazazi wake walifanya kila juhudi kumsaidia kuyaondoa mazoea yake ya michezo. Kwa bahati mbaya, uzoefu wa Li Xinguang ulizidi kuwa mbaya zaidi na zaidi.

8/22/2018

Mungu Ana Nia Nzuri Zaidi

Nimechagua kumpenda Mungu, nitatii chochote atakachochukuwa Yeye.
Sitoi neno lolote la ulalamishi, licha ya uchungu.
Uhuru usiozuilika wa mwanadamu unastahili adhabu ya Mungu.
Uasi ni wangu binafsi, sifai kukosea mapenzi ya Mungu.
Ingawa taabu ni nyingi, ni baraka kuwa na upendo wa Mungu.
Taabu ilinifunza kutii; Mungu ana nzuri, nia nzuri.

8/15/2018

Upendo wa Mungu Unaenea Duniani Kote


Upendo wa Mungu Unaenea Duniani Kote

Mwenyezi Mungu, Wewe ni mwenye haki, Wewe ni mtakatifu.
Upendo Wako safi ni kama chembe ya theluji ikicheza hewani,
nyeupe, nzuri, inayonukia, ikiniangukia, ikiyeyuka katika upendo wangu mara moja.
Kupitia uboreshaji Wako upendo wangu Kwako umekuwa halisi kabisa.
Nikuache upange njia ya maisha yangu Wewe binafsi.

7/25/2018

Wimbo | Njia Yote Pamoja na Wewe

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Msifuni Mwenyezi Mungu


I
Nilikuwa kama mashua, ikielea baharini. Ulinichagua, na mahali pazuri Uliniongoza. Sasa katika familia Yako, nikipewa joto na upendo Wako, nina amani kabisa. Unanibariki, Unatoa maneno Yako ya hukumu. Bado sijui jinsi ninavyokosa kuithamini neema Yako. Kila mara nikiasi, kwa namna fulani nikiuumiza moyo Wako. Na bado Hunitendei kulingana na dhambi zangu lakini Unafanya kazi kwa ajili ya wokovu wangu. Ninapokuwa mbali, Unaniita nirudi kutoka hatarini.

7/24/2018

Ni kwa Kupitia Usafishaji tu Ndiyo Mwanadamu Anaweza Kumpenda Mungu kwa Kweli

Mwenyezi Mungu alisema, Je, ni jinsi gani mwanadamu anafaa kumpenda Mungu wakati wa usafishaji? Baada ya kupitia usafishaji, wakati wa usafishaji watu wanaweza kumsifu Mungu kwa kweli na kuona jinsi wanavyokosa kwa kiasi kikubwa. Kadiri usafishaji wako ulivyo mkubwa, ndivyo unaweza zaidi kukana mwili; kadiri usafishaji wao ulivyo mkubwa, ndivyo zaidi ulivyo upendo wa watu kwa Mungu, Hili ndilo mnapaswa kuelewa.

7/21/2018

Jitiishe Mwenyewe ili Kufundisha Wengine Nidhamu

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Ushuhuda
Xiaoyan    Jiji la Xinyang, Mkoa wa Henan
Nilikuwa na ubia wa kazi wa karibu na dada mmoja mzee katika masuala ya jumla. Baada ya kufanya kazi naye kwa muda fulani, nikamwona kuwa mzembe katika kazi yake na kwamba hakukubali ukweli. Kikwelikweli, nilikata kauli kumhusu. Hatua kwa hatua, uhusiano wa kawaida kati yetu ulipotea, hatukuweza kupatana vizuri, na hatukuweza kuwa mbia katika kazi.

7/18/2018

Sifu Mungu | Wewe Tu Unaweza Kuniokoa Mimi🎼🎙️😇😇

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Nyimbo


Sifu Mungu | Wewe Tu Unaweza Kuniokoa Mimi

 I 
Mnyenyekevu na Uliyejificha, Waambatana na watu katika matatizo yao, Ukiwapa njia ya uzima wa milele. Unawapenda binadamu kama mwili Wako mwenyewe. Na Wastahili upendo wao. Afadhali Uteseke Mwenyewe, ili Umwezeshe mwanadamu apate faida. Na Wanyesha uzima juu yao. Moyo Wako unapendeza kweli, Wewe ni mwenye haki sana na Wastahili sifa ya mwanadamu. Maneno Yako yanitwaa. Hukumu Yako yanitakasa. Wewe pekee Waweza niokoa.

7/14/2018

Nyimbo za Mungu | Nitakubali Uishi Moyoni Mwangu Wakati Wote🎼🎹

Unaandamana nami katika misimu minne.
Nikitazama uso Wako wenye upweke, mawimbi ya huzuni yanajaa moyoni mwangu.
Sijawahi kubembeleza huzuni Wako na sikujali kamwe kuhusu upweke Wako;
nikikumbana na maneno Yako ya bidii tena na tena, mimi ni mkaidi sana.

6/22/2018

C. Jinsi Ambavyo Shetani Anatumia Desturi ya Kitamaduni Kumpotosha Mwanadamu | Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee V

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki,

Je, kuna mambo mengi yanayochukuliwa kuwa sehemu ya desturi ya kitamaduni? (Ndiyo.) Hii desturi ya kitamaduni inamaanisha nini? (Inapitishwa kutoka kwa mababu.) Inapitishwa kutoka kwa mababu, hiki ni kipengele kimoja. Familia, vikundi vya makabila, na hata jamii ya binadamu imepitisha njia yao ya maisha kutoka mwanzo, ama imepitisha mila, misemo, na kanuni, ambazo zimeingizwa kwa fikira za watu.

6/18/2018

Mwenyezi Mungu Amenipa Fursa ya Pili Katika Maisha


Ndugu wawili wa kawaida, Beijing 
                                                        
                                                                     Agosti 15, 2012
Julai 21, mwaka wa 2012 ilikuwa siku isiyosahaulika sana kwangu, pamoja na kuwa siku muhimu zaidi ya maisha yangu.
Siku hiyo, mvua kubwa ilikuwa ikinyesha katika Wilaya ya Fangshan jijini Beijing—ilikuwa kubwa kuliko yoyote iliyowahi kuonekana pale katika miaka sitini na mmoja. Muda mfupi baada ya saa 4 jioni, nilitoka nje mtaani ili kuangalia na nikaona kuwa maji yalikuwa kila mahali. Gari la familia yetu lilikuwa tayari limeelea, na sababu ya pekee gari hilo kutosombwa na mkondo wa maji ilikuwa kwamba lilizuiwa na kitu mbele yake kilicholizuia kusonga.

6/16/2018

Ni kwa Kupitia tu Majaribio ya Kuumiza Ndiyo Mnaweza Kujua Kupendeza kwa Mungu

Mwenyezi Mungu alisema, Unampenda Mungu kiasi gani hasa leo? Na unajua kiasi gani hasa kuhusu yote ambayo Mungu amefanya ndani yako? Haya ni mambo unayopaswa kujifunza. Mungu anapowasili duniani, yote ambayo Amefanya ndani ya mwanadamu na kumkubalia mwanadamu kuona ni ili mwanadamu atampenda na kumjua Yeye kweli. Kwamba mwanadamu anaweza kuteseka kwa ajili ya Mungu na ameweza kufikia umbali huu ni, kuhusiana na jambo moja, kwa sababu ya upendo wa Mungu, na kuhusiana na jambo lingine, ni kwa sababu ya wokovu wa Mungu;