Ⅰ
Niliishi katika ulimwengu usio na tumaini, bila kujua ukweli.
Nilisoma neno la Mwenyezi na sasa najua maana ya maisha.
Ni ajabu kuu iliyoje, Kristo analeta mwanga ulimwenguni.
Kutoka kwa hukumu Yake nimepata njia ya uzima wa milele.
Nalithamini neno la Mungu, nauthamini ukweli wa Mungu.
Ukweli ni wa thamani iliyoje! Kuoshwa katika kisima cha Mungu cha uzima.